drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 294
naomba unipe hela nikuwekee internet ya bure....nimeamua nikusaidie ila leta kwanza hela...
utakuwa ujamsaidia anataka bureeeeeeeeeee
naomba unipe hela nikuwekee internet ya bure....nimeamua nikusaidie ila leta kwanza hela...
Wabongo kwa kupenda vya bureeee!!!!!!!!!! Mko juuuu!!!!!!!!!!! Msikilize mwanamuziki huyu.
Du kweli jamii forum hii
Pia anaweza kumwuliza Julian Assange wa WikiLeaks.
utakuwa ujamsaidia anataka bureeeeeeeeeee
Wakuu vp nisaidieni jinsi gani ku-setting up intaneti ya bure kwenye simu na laptop?
waliotua majibu mabovu hapo juu ninavote kwa majibu pumba ya mwaka swali lilikuwa zuri tu and this thing is possible just look below and there some more informations available
angalia hii site HACK YOUR PHONE AND GET FREE INTERNET SITE NI HII HAPO
HACK your cell phone! Get free internet
Lakini si unaona hayo majibu anayopata...!? Ndio staili yake?mkuu heshima mbele mbona ajazodolewa amafahamishwa na anaendelea kufahamishwa akuna internet ya bure ata ile ya bure anayowaza @good guy ameshamfafanue mengine unayoona ni majibu ya jumla hapa jamvini kwa kadri unavyoingia humu
This is a free & open forums, na mtu anapoleta topic hapa usitegemee kila mtu atarespond vile unavotaka wewe..ndio raha ya open and free society. And yes mie ndie niliyeuliza umri wa mdau .. na it does not hurt,it is a valid question. it usually it takes age to mature..
BTW, when u try to be a smart-a$$, be good at it..hiyo link uliyoeka hakuna possibility ya kupata internet bila kulipia..unless kama hukuiangalia, if u set it successfully u will still be using ur minutes.
Listen mate uwezekano wa kupata internet bure through mobile phone upo ila it is through hacking..... nimemdirect mdau kwenye hio site sababu hapo ndio kuna watu wanajaribu kufanya hivyo, baadhi wamefanikiwa ila for a short time look at the comments.... kuna mtu alifanikiwa through airtel lakini wakaclose the loophole.... therefore kwake yeye kwenda kwenye hiyo forum atapata better help more than what he has achieved so far. Give me a break it takes maturity..... TO ASK HOW CAN I GET FREE INTERNET ON MY PHONE..... GO AND ASK YOUR GRANDFATHER AM SURE HE IS MATURE ENOUGH OF HOW INFORMATIVE HE IS ABOUT TECHNOLOGY........... OR GO AND CHECK KEYWORD TOOL GOOGLE UONE HOW MANY TIMES SUCH A QUESTION HAS BEEN ASKED THEN YOU WILL KNOW ITS NOT UNCOMMON AFTER ALL......... (EVERYTHING CAN BE HACKED.... ITS JUST A MATTER OF PATIENCE AND HARD WORK)
Source ulioyoweka is three years old na inasema ukihack u will still pay with ur airtime..thats it..kama unabadilisha source tuambie. Hayo maelezo yako mengine is immaterial and total waste of time.
Kuna wa2 hapo juu ambao mnatoa majibu ya kasfa na kejeri eti kwa kuwa 'hii ni open forum na nisitegemee kila m2 atarespond ninavyotaka' muache hiyo tabia.M2 kauliza swali unajua mjibu hujui be silent,sasa unamwambia nenda kama m2 hapo juu 'Tanga kuna vya bure' unaonesha jinc gani ucvyo na upeo wa kufikira,no offence.Plz thinkers lets do the thinking part of thinkers b4 everything.And to Mzux D,we all aren't like some people who answered u'r question.Feel free 2 post more questions.
Nadhani alikuwa anmaanisha wireless lakini kama simu au laptop yako ina detect hiyo wireless nilazima uwe na key code mkuu!!zaidi google!!
Pia anaweza kumwuliza Julian Assange wa WikiLeaks.