Rural Swagga
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,643
- 1,177
Of course sio rahisi always ukipata loop hole wenye network wanaziziba hiyo sio destinaton ni journey since wanaotengeneza security wana akili kama wanauovunja security kwahiyo hii ni battle kutoka kwa wenye mali na hackers... kwahiyo ni time consuming na hata ukifanikiwa ni for a short time..... kwahiyo is it worth it (Hapana) ndio sababu mimi sijafanya.. lakini uwezekano upo; hackers huwa wanafanya vitu sio sababu to kusave pesa hapana lakini hata tu kuonyesha kwamba they can beat the system
I Agree With U