Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Ikumbukwe kwamba tuna tumia nick name hapa hivyo hata uki m pm mtu bado hujui kama ni mdau wa mtandao gani, ikumbukwe kwamba wizi ni wizi tu.
Mkuu vya bure gharama...ujanja ni kutuanzishia jinsi tutakavyoweza kuchakachua ili tupate vya bure..wapendwa!! Embu tuwe serious kidogo hapa... hatuwezi kupata namna ya kupata free internet...i have been reading, n still reading on how to get a free access to internet...Nigeria, South Africa, Kenya watu wana bofya bofya buure, sisi tu
India per month unlimited internet with a fast speed unachajiwa dola 2 tu...sasa Tz, kutokana na gharama bado ipo juu....Kuna mtu anaweza akatupa namna ya kuchakachua...Modem tumeweza, net ssa??
<br />mimi naweza kuchakachua modem zote na kuwa multpurpose!
<br />
<br />
ist true br hebu nielekze kuhusu vodafone k3565-z email: lugelohassan@gmail.com msaada wako mkuu voda wamenichosha.
Mkuu hiyo modem yako ya vodaphone ina matatizo gani?? unataka msaada wa aina gani??ukiwa unanijibu angalia maandishi yaliyopo kwenye hiyo modem then uniambie kama its Zte or Huawei Co-operation....
mwenye tatizo la trial softwares kama IDM n.k anyooshe hapa maelezo....
mimi hapa cheeter, mpaka leo nasumbuka tangu nilipotumia mwezi wa kwanza ilipoisha sasa kila niki-reinstall fujo tu inataka registration, tafadhari help me
mimi nilibweda tigo miezi 6, siku nikajifanya mjuaji kubadili sijui vitu gani, ikala kwangu hadi najuta sasa