Mkuu hii kitu kwa TZ naweza kuipata wapi?Wapigie mmoja mmoja, Raha, Home faiba na CTV, ila kinondoni Morocco for sure Zinafika, na kama upo uswahilini sana haifiki pengine kuna Ambao wanazidi kidogo.
Pia kama inafika karibu na nyumbani na haijafika nyumbani waweza kui extend na Antenna ya wifi.
Sijui mkuu ila vipo vya kutosha,