Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,388
- 1,094
Na hao waliokufa na kujeruhiwa mara nyingi huwa ni wale walio kataa amri ya serikali ya kutokuandamana.
Mungu alituumba akatupa na akili hapo kamaliza, tumia akili kutatua matatizo. Hakuna kubwa hapo, anaeyafanya hayo ni binadamu na mzuiaji hayo ni binadamu.
Zumbabwe hiyo mkuu! Kwa mwwndo huu Tumebaki km chache nasi tufike huko.
Ni maiti hizo?Zimbabwe huko. Mod unaweza kuiunganisha na hii trendView attachment 999754
Sent using Jamii Forums mobile app
Imetokea lin best mbn juzi monday tulikuwa kisugura border ya Botswana na mqmb yako poaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa bora kile kibabu kilikuwa na busara sana, ona sasa haya mambo ya hovyo, nilitegemea akina zitto wapeleke shauri ICC na sio kuhangaika na CAGHivi kymbe bora wangemuacha yule mzee wa watu amalizie maisha yake pale mjengoni tu.
#SadamGadafi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule hawatapata KIKI. We si unaona ya DRC, sipati picha angeshinda Shadary. Wameshinda wapinzani now wamebadili gia angani kama kawaida yao eti yule ni mtu wa Kabila, kabila huyu huyu aliyeweka vikwazo lukuki Baba mtu asizikwe congo hadi leo anapigwa baridi huko ulaya! Hata kama ni ulafi wa wadaraka sidhani kuwa waweza kushirikiana na mtu sampuli hiyo.Ni kweli kabisa bora kile kibabu kilikuwa na busara sana, ona sasa haya mambo ya hovyo, nilitegemea akina zitto wapeleke shauri ICC na sio kuhangaika na CAG
