Internet browser, tatizo hili nifanyeje?

Internet browser, tatizo hili nifanyeje?

BASHADA

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2011
Posts
513
Reaction score
149
JAMANI WANA JF,
Kwanza kabisa nashukuru wana JF kwani kupitia forum hii nimejifunza mengi.

Nimekuwa nikilalamikiwa na marafiki zangu kuwa wanapokuwa online kwenye email, wananiona kwenye messenger box niko online muda wote sasa wakituma msg na kukuta hazijibiwi wanadhani nazipuuzia. kumbe wakati huo mimi ninakuwa nimeshazima computer na sipo kabisa online, lakini wenzangu wananiona bado niko online. Je tatizo hili linasababishwa na nini na nifanyaje ili kurekebisha? bahati nzuri natumia laptop na siyo computer ya public.
Asanteni
 
Bofya Sign out kbla ya kuzima laptp yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom