ukweli ni kwamba huko katika magrupu ya WhatsApp ndiko kulikoanzia mkakati na mpaka mnaona leo hii kuna kusuasua kwa ununuaji wa tiketi
meseji nyingi tu zinatumwa huko kuhimiza mashabiki wasusie kwenda uwanjani na kiukweli kwa 60% wamefanikiwa na Kesho kwa mkapa wala hakutojaa kivile
viongozi wa simba sc laiti wangekuwa na akili hili wangeshalijua kitambo na kuliwahi ila wamekumbuka shuka wakati kumeshakucha
na hata wafuatiliaji wa mambo ndani ya simba sc tunayajua hadi na matokeo ya kesho japo kuna mzigo wa maana umewekwa na tajiri ili kumhonga pilato kwa kuhofia kuwa kama simba sc ikifungwa kesho moto mkubwa utawaka na safari hii hata tajiri nae ataambiwa bila aibu kuwa kachokwa na aachie timu
meseji nyingi tu zinatumwa huko kuhimiza mashabiki wasusie kwenda uwanjani na kiukweli kwa 60% wamefanikiwa na Kesho kwa mkapa wala hakutojaa kivile
viongozi wa simba sc laiti wangekuwa na akili hili wangeshalijua kitambo na kuliwahi ila wamekumbuka shuka wakati kumeshakucha
na hata wafuatiliaji wa mambo ndani ya simba sc tunayajua hadi na matokeo ya kesho japo kuna mzigo wa maana umewekwa na tajiri ili kumhonga pilato kwa kuhofia kuwa kama simba sc ikifungwa kesho moto mkubwa utawaka na safari hii hata tajiri nae ataambiwa bila aibu kuwa kachokwa na aachie timu