Godee jr
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,910
- 2,710
Naombaeni msaada wakuu. Nikitaka kuistall apps nilizotumiwa kwa cm transfer zinaniambia there was a problem of parsing this file kama sijakosea. Naombeni mnisaidie maana Nina files nyingi sana ambazo zipo pending.
Shida ya pili ni kuwa nikiweka SD card ubora wa picha na video unapungua sana au kushindwa kabisa kufunguka au kuplay.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Asanteni
Shida ya pili ni kuwa nikiweka SD card ubora wa picha na video unapungua sana au kushindwa kabisa kufunguka au kuplay.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Asanteni