hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 540
Kiuhalisia mimi nimekuwa mfuatiliaji wa muvi nyingi ila hizi muvi za kuinspire watazamaji ndo nazpenda zaidi .....hii apa list yangu
1.UNBROKEN...hii ni bonge la muvi jamaa anatoka UK alkokuwa mwanariadha maarufu baada ya broo wake kugundua kipaji cha dogo alipomuona cku ameiba afu akawaanaspeed balaa so hakuweza kukamatika.....then uko mbeleni anaenda kwenye jeshi la anga uko ndege inalipuliwa wanadondokea baharin...uko wanakula samaki wabichi na vindege tu....bada ya miezi kadhaa wanakutana na meli ya maadui wanawekwa mateka..umo anakutana na kamanda anayekuwa na chuki naye basi msela anaescape vifo balaa......siyo ya kukosa hii pia hii ni true story
2.THE WALK...hii ni ya 2015 jamaa anakuwa anaplan ya kutembea juu ya kamba ktkt ya maghorofa mawili yale yaliyolipuliwa...so anawashirikisha majamaa zake idea ye anafanya kwenda USA kukamilisha ndoto zake......
3.LIFE OF PIE.....hii ni bonge la stori ambayo inaonyesha uwepo kwa story ya dgo kuescape na boti yenye wanyama kutoka kwenye meli na mwsho wa cku anabak na tiger ila badae anakuja kugundua uyo tiger n mfano wake na wale wanyama waloded n mfano wa wazaz wake walokufa kwenye meli...hii inahitaji akili kuielewa
4.SLUMMY DOG MILLIONAIRE.....hii dgo anaenda kwenye mashndano ya maswali ya kutumia akili uku yeye hana elimu yyote so anajbu kutokana na experience ya maisha yake
5.THE PURSUITY OF HAPPYNESS
6.LION
......ongeni list wadau wenye kupenda muvi kama hizi
1.UNBROKEN...hii ni bonge la muvi jamaa anatoka UK alkokuwa mwanariadha maarufu baada ya broo wake kugundua kipaji cha dogo alipomuona cku ameiba afu akawaanaspeed balaa so hakuweza kukamatika.....then uko mbeleni anaenda kwenye jeshi la anga uko ndege inalipuliwa wanadondokea baharin...uko wanakula samaki wabichi na vindege tu....bada ya miezi kadhaa wanakutana na meli ya maadui wanawekwa mateka..umo anakutana na kamanda anayekuwa na chuki naye basi msela anaescape vifo balaa......siyo ya kukosa hii pia hii ni true story
2.THE WALK...hii ni ya 2015 jamaa anakuwa anaplan ya kutembea juu ya kamba ktkt ya maghorofa mawili yale yaliyolipuliwa...so anawashirikisha majamaa zake idea ye anafanya kwenda USA kukamilisha ndoto zake......
3.LIFE OF PIE.....hii ni bonge la stori ambayo inaonyesha uwepo kwa story ya dgo kuescape na boti yenye wanyama kutoka kwenye meli na mwsho wa cku anabak na tiger ila badae anakuja kugundua uyo tiger n mfano wake na wale wanyama waloded n mfano wa wazaz wake walokufa kwenye meli...hii inahitaji akili kuielewa
4.SLUMMY DOG MILLIONAIRE.....hii dgo anaenda kwenye mashndano ya maswali ya kutumia akili uku yeye hana elimu yyote so anajbu kutokana na experience ya maisha yake
5.THE PURSUITY OF HAPPYNESS
6.LION
......ongeni list wadau wenye kupenda muvi kama hizi