Inspirational movies

Inspirational movies

My name is Khan.
Na kuna movie flani ya mwanamke wa kizungu anaolewa uarabuni anateswa balaa ila end of the day anafanikiwa kutoroka kwenye ndege kurudi Marekani. Nimesahau jina lake
 
Cheki kitu inaitwa Papillon
Mkuu uko vizuri,. Hii papilion based on tru story jamaa kafungwa kwenye kisiwa alafu anajaribu kutoroka.

Nyingine ni SHAWSHANK REDEMPTION, nayo jamaa alisingiziwa kau mke wake ila akaja kutoroka jela, ina rating kubwa sana IMBD
 
JOY based on true story, mdada alikua receptionist wa airport akaja kua millionaire, ali hustle sana
 
The founder, nayo based on true story, jamaa alikua sales man wa chini kabisa wanazunguka door to door ila akaja kua millionaire akiwa miaka ya 50, ndo akainunua na kuimiliki MACKDONALDS fast food
 
Huyu jamàa alie waza uzi huu nimemuelewa. Safi sana mkuu. Movue za fiction fiction naona hazina deal.

Mie na drop moja hapa inaitwa THE FOUNDER.
 
Gold (2017) based on true story, jamaa alikua broke akaanzisha mining company, akaanzisha mgodi asia, akaja kua millionaire ali hustle sana, baada ya kutajirika serikali na matajiri wengine walitaka kumpokonya mgodi wake
 
Huyu dogo aliact movie moja nzuri sana yan inasisimua vibaya mno yan kuna stage inafika unataman ata kulia nliiona mwaka 2013 natamanigi niirudie ila nshaisahau jina
Alicheza na Amri Khan ajiigiza kama mtoto mwenye matatizo ya macho lakini walimu hawakugundua hilo mapema. Pia ni special need child
 
Alicheza na Amri Khan ajiigiza kama mtoto mwenye matatizo ya macho lakini walimu hawakugundua hilo mapema. Pia ni special need child
Hii movie kiukwel nayo haichoshi inafika mahali inahuzunisha ad mazoz yanalenga
 
Kwa nini wamchague yeye
Kuweza anaweza sijasema hawezi. Ila kuna movies story yake hata ukimpa kingwendu anacheza. Yaani movie stori yake inakua tamu hata staa akiwekwa Trump bado inabaki kuwa kali.
 
Back
Top Bottom