Yaani ukuta wa Yericko leo hii kawa kiazi? Kweli wapenzi wa Simba ni wanafikiWaondoke tu hakuna tatizo...
Kimsingi Inonga hana faida yeyote akiwa Simba, hujituma akiwa national team...
Malone yeye ndiyo kiazi kabisa, aondoke hata sasa hivi tu.
Yule aliemleta Fred na Jobe mshamfukuza?Uyo atakae mlete mwamnyeto Simba tutamfukuza mchana kweupe
Unaumwa bawasili sio bure Kisinda yupo RS Berkane wapo nusu fainali federation, Mukoko yupo nusu fainali na Mazembe, Msuva haina haja ya kueleza , Feisal anapambania kiatu, Saido yupo hapo kwenu nani kawaloga hao? nitajie wachezaji 5 waliofanikiwa baada ya kutoka 5imbaSimba haina shida kuachia mchezaji wala huwez skia lawama, ugomvi, wala kutupiwa majini kama wale Walozi wa Kule kwenye mafuriko ya Vinyesi vya Jiji. Ameondoka Mickoson, Okwi, Chama, Sakho, Costa Nyumba, Bwallya nk lkn Mnyama kaenda Champions League mara 5 na wale walozi na kubania wachezaji kakaa miaka 87 ndio kafika Robo Fainali ya Vilabu Barani Afrika.
Timu hii hii mbovu ndio Bingwa na Ngao ya Hisani
Halogwi wala nini Simba wanajua kuachwa. Hakuna atakaemshobokea ili baadae ije kuwa bifu. Afuate utaratibu aende.Uzuri Simba hatunaga bifu na wachezaji wakimaliza wanaondoka kwa amani au wanauzwa,au kutolewa kwa mkopo kwa amani bila kelele...sio huko ubuntu botho ..weee
Tumewasimamisha wapishe uchungunzi kwanzaYule aliemleta Fred na Jobe mshamfukuza?
Mo, humjui mdhamini wa timu?Hela unatoa wewe?
ok sawaBeki wa Simba Enoch Inonga anatarajia kuondoka Simba baada ya msimu kumalizika.
Japo Inonga ana mkataba mpaka 2025 ila ameomba kuondoka na ameshaanza mazungumzo na club yake wamuachie.
Pia beki wa kati Che Malone nae anataka kuondoka sababu hafurahii kuwepo Simba.
Za ndani zinasema Simba wanataka kumchukua naodha wa Yanga Bakari Mwamnyeto ambae mkataba wake unaisha Yanga hivi karibuni na bado hajasaini mkataba mpya.
Hii kauli nimeisikia wanasimba wengi wakiisema ila nadhani ina kasoro. Kwa maoni yangu national team wamejua madhaifu ya Inonga na wamemuelekeza jinsi ya kucheza ili yasiidhuru timu kitu ambacho Simba hakijafanyika.Kimsingi Inonga hana faida yeyote akiwa Simba, hujituma akiwa national team...
Subiri shooKwa hali hii Yanga atakuwa bingwa kwa miaka mingi sana. Maana wapinzani kila mwaka watakuwa wako busy kujenga tu kikosi chao, huku wakiendelea kujipa matumaini kupitia yule msemaji mwenye damu ya Kinjekitile Ngwale, mwilini mwake.
Sahivi ndo mateso yanajionesha live, mwanzo walikua wanajificha kwenye kichaka cha mamelodilofaWanaendelea kuteseka
Sema nmeanza waonea hurumaSahivi ndo mateso yanajionesha live, mwanzo walikua wanajificha kwenye kichaka cha mamelodilofa