K K 4 LIFE JF-Expert Member Jul 21, 2015 2,567 416 Apr 6, 2016 #181 Wakuu kuna mada fupi hapa watalaam waje watujuze eti ni engine hipi kati ya hizi MELI, NDEGE,TRENI,MALORI, JET ZA KIVITA, NK.
Wakuu kuna mada fupi hapa watalaam waje watujuze eti ni engine hipi kati ya hizi MELI, NDEGE,TRENI,MALORI, JET ZA KIVITA, NK.
1974hrs JF-Expert Member Oct 27, 2014 741 536 Apr 6, 2016 #182 We unataka kununua ipi kati ya hizo ulizotaja?
Dragoon JF-Expert Member Nov 24, 2013 7,012 8,126 Apr 6, 2016 #183 1974hrs said: We unataka kununua ipi kati ya hizo ulizotaja? Click to expand... anataka kununua yenye hose power kubwa, mjibu tu
1974hrs said: We unataka kununua ipi kati ya hizo ulizotaja? Click to expand... anataka kununua yenye hose power kubwa, mjibu tu
J33 JF-Expert Member Jun 11, 2014 1,552 1,505 Apr 6, 2016 #184 Mada hii ilishajadiliwa humu na wataalam walileta vielelezo vya kutosha . Duc In Altum.
samora10 JF-Expert Member Jul 21, 2010 7,594 4,798 Apr 6, 2016 #185 Tafuta humu humu ilishajadiliwa hii... Meli ndio mwisho wa matatizo