Injini ya ndege ya United Airlines yalipuka angani

hili shirika lilikua linaaminika Sana,miaka ya nyuma nadhani ndo shirika ambalo lilikuwa na ndege zisizo na mashaka ,Wala wasiwasi.nini kimawapata Boeing miaka ya hivi karibuni??au ndo nao technologia yao imehujumiwa??
 
A220 tena nahis its newest edition aircraft


Hivo vidogo, japo amejitahidi mno.


A220, A300, A310, A318, A319, A320, A321, A330, A340, A350, A380

AIRBUS

With a price tag of $445.6 million, the A380 is one of the most expensive and lavish airplanes ever built. With room for as many as 800 passengers, the double-decker's sheer size means it's an occasion whenever a superjumbo arrives.



BOEING DREAMLINER

typePrice in million U.S. dollars
787-8248.3
787-9292.5

Bei nilizoangalia mkuu, Labda weka na zakwako
 
Naona watu wanaishambulia Boeing wakati tatizo lililotokea ni la hizo engines Pratt & Whitney PW4077 ambazo zimetengenezwa na kampuni nyengine kabisa
 
Back
Top Bottom