OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Umesoma hiyo habari kamili kuwa hilo shirika na fleet hiyo ya ndege wao pekee waliobaki kutumia hiyo aina ya Engine huku Mashirika mengine yote yashabadilisha hiyo aina ya Engine?Airbus ndio mpango mzima bob,,, achana na hayo spana mkononi,,
Sawa lakini nenda airport yeyote kubwa dunian kwenye parking utahesabu boing 5 then airbus moja then 7 airbus mojaNitaendelea kuwakubali Airbus mpaka basi,,,,wamarekani weusi njooni huku lidege lenu limelipuka tena,,,,poleni sana wamarekani weusi.
Sawa lakini nenda airport yeyote kubwa dunian kwenye parking utahesabu boing 5 then airbus moja then 7 airbus moja
Umesoma hiyo habari kamili kuwa hilo shirika na fleet hiyo ya ndege wao pekee waliobaki kutumia hiyo aina ya Engine huku Mashirika mengine yote yashabadilisha hiyo aina ya Engine?
Kwani hujaona airbus mbili ambazo bro amenunua hapa, iliokuwa imekamatwa SA ilikuwa ninin? Hii inayopiga misele ya kampala dar burundi nininAirbus ni very expensive kwa boeing babaa ndio maana yamezagaa kila kona mpaka mkuu amelinunua
Kwani hujaona airbus mbili ambazo bro amenunua hapa, iliokuwa imekamatwa SA ilikuwa ninin? Hii inayopiga misele ya kampala dar burundi ninin
A220 tena nahis its newest edition aircraft"A" ngapi hizo???
A220 tena nahis its newest edition aircraft
type | Price in million U.S. dollars |
---|---|
787-8 | 248.3 |
787-9 | 292.5 |
Dooh.. Hao abiria walochukua video kwenye taharuki hiyo wana ujasiri wa kutosha!!!
Wananchi gani, hawahawa wanaosubiri amri kuvaa barakoa au??hii ingetokea kwa ndege za ATCL sijui wangeambia nini wananchi
Boeing haina shida bali Engine ndo ilileta tatizo, na engine haitengenezwi na boeing, na tayari washatoa sababu ya engine kuunguaMkiambiwa maboeing mandege yao mabovu hamtaki kusikia ,ona sasa lingine hilo limelipuka.
Airbus ndio mpango mzima
Mkuu hizi Boeing ni matatizo nadhani kuna laana inatembea kwenye ile kampuni.Usafiri wa anga ndiyo salama zaidi ya usafiri wa barabarani au majini. Tuna uwezekano mkubwa wa kupigwa na radi kuliko kupata ajali ya ndege.
Ni kweli mkuu Airbus hivi zinatakiwa kutua hadi kule chato?Airbus ndio mpango mzima bob,,, achana na hayo spana mkononi,,
Na unapewa kifungo cha kuhujumu uchumi ..miaka kumi na faini juuIngekuwa ni nchi fulani hivi nadhani ni Wakanda basi ukikutwa na video za namna hiyo ww unakwamisha maendeleo ya serikali