Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,691
- 99,450
Niache iliyobaki nje?Nikiumwa na mbu?Kazi-kazi tu!Naam si vyema kuingiza yooote kama vile zuzu/fala.
Ili ufanikiwe unatakiwa kuingiza kidogo halafu unasikilizia,, tartiibu utaona jinsi inavyochanganya ndio unaongeza tena kidogo halafu unatoa.
Hii mbinu inatumika hata kwenye masoko ya dhahabu duniani ndio maana utaona bei mara imepanda au hata dola halafu baadae tena inashuka,
Kwa hiyo na wewe mtaji wako kwenye biashara weka kidogo halafu sikilizia,