Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Najaribu kupata picha kwamba sasa barabara zimefungwa. Askari wa sare na wale wasionazo wako bize kuzunguka mahakama yote pale Kisutu. Huku watu wakiwa na shauku ya kujua kulikoni, mara kwenye JF, redioni na TV kuna tokea Breaking News.....! "Wale mapapa wote waliotajwa na Mengi wamekamatwa na sasa wako njiani kupelekwa mahakamani" Stay tuned for more....! INGEKUEAJE? Tujadili!