Ingekuwa wewe ungemshaurije?

Ingekuwa wewe ungemshaurije?

Hayo mambo mbona ni ya ndani sana. Ndiyo maana tunashauriwa kutoshiriki tendo la ndoa nje ya ndoa, ni pamoja na kujiimarisha na majanga kama haya. Ndoa si tendo tu, mnakuwa mwili mmoja, kusaidiana kwa shida na raha. Mume wako ndiyo rafiki yako mkubwa. Kama wawili hao wameelewana, hata uume wa bandia mume anaweza kumchezea mkewe.
Asante kwa ushauri mkuu nimekupata sana apo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Aiba nini maana ya ndoa?, tunashauriwa kuoa ili mambo kama haya mnakuwa bega kwa bega na mkeo, jamaa kitendo cha kumwambia mke waachane ni ishara ya kukata tamaa kutokana na hali aliyonayo. Mkiwa kwenye ndoa lenu ni moja tuu kwenye shida na raha muwe pamoja unlike kwenye mapenzi lazima mkiambiane nyakati kama hizo. So mke huyo aendelee tuu kukaa na mumewe maana hata angekuwa mke ndo ana matatizo jamaa angekuwa na mchepuko anaenda anapewa mambo anarudi kwa mke wake ingawa mapenzi yangepungua sana tu lakini ile spirit ya mume na mke still bado ipo. Kinachotakiwa mwanamke atafute mtu wa kuwa ana mpa mambo kisha anarudi kwa mumewake kimya kimya na mambo yaendelee.

Ingawa wanawake ni watu wa ajabu sana. Si ajabu kuona akianza kudinywa huko nje ataanza kubadilika mazima na kumtenga mume wake wa ndoa.

"mwanamke ajiongeze mwenyewe"

Ni hayo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu umeeleweka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za njanuari wapendwa? Moja kwa moja kwenye mada.


Nina rafiki yangu ambaye nafanya naye kazi tumeshibana sana, na tunashauriana sana kwa mengi hasa kuusu maisha na tunataniana mara nyingi.

2017 alipata ajali ya gari alikuwa ndyo kamaliza masomo yake baada ya kupata nafasi ya kujiendeleza kimasomo akiwa kazini. Ilikuwa ajali mbaya sana kwake, ajali ambayo ilimfanya akavunjika miguu yote miwili na pingili mbili za uti wa mgongo kupishana ivyo alifanyiwa operesheni nane Muhimbili.

Ajali Ile ilimuweka miaka miwili kitandani bila kutembea zaidi ya mazoezi madogo madogo aliyokuwa anafanyiwa akiwa kitandani apoapo. Kwa sasa hali imetengamaa japo anatembea kwa magongo mwili haujawa sana tena.

Kabla ya ajali alikuwa na mke na watoto wawili saivi jogoo hasimami sababu ya Ile ajali mkewe hamu anapata japo ajawai mwambie mmewe moja kwa moja.
Mmewe saivi hana furaha ya ndoa.

Ameomba ushauri kwangu afanyaje maana bado ana wivu na mkewe anunue mboo ya bandia mkewe ajiudumie mwenyewe au amuche akaolewe kama akibahatika kumpata mwanaume mwingine japo alishamwambia mwanamke wazo la kuachana akamkatalia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh mkuu yan najikuta nashindwa nitoe ushaur gani kwa jinsi uzi ulivyokuwa mzito, ila naomba mkewe awe mvumilivu aishi kwa matumaini kama aliweza kujipa moyo ndani ya miaka miwili basi ajipe moyo zaidi kwa kipindi kingine ajipe moyo kwamba mungu atamponya mumewe siku moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za njanuari wapendwa? Moja kwa moja kwenye mada.


Nina rafiki yangu ambaye nafanya naye kazi tumeshibana sana, na tunashauriana sana kwa mengi hasa kuusu maisha na tunataniana mara nyingi.

2017 alipata ajali ya gari alikuwa ndyo kamaliza masomo yake baada ya kupata nafasi ya kujiendeleza kimasomo akiwa kazini. Ilikuwa ajali mbaya sana kwake, ajali ambayo ilimfanya akavunjika miguu yote miwili na pingili mbili za uti wa mgongo kupishana ivyo alifanyiwa operesheni nane Muhimbili.

Ajali Ile ilimuweka miaka miwili kitandani bila kutembea zaidi ya mazoezi madogo madogo aliyokuwa anafanyiwa akiwa kitandani apoapo. Kwa sasa hali imetengamaa japo anatembea kwa magongo mwili haujawa sana tena.

Kabla ya ajali alikuwa na mke na watoto wawili saivi jogoo hasimami sababu ya Ile ajali mkewe hamu anapata japo ajawai mwambie mmewe moja kwa moja.
Mmewe saivi hana furaha ya ndoa.

Ameomba ushauri kwangu afanyaje maana bado ana wivu na mkewe anunue mboo ya bandia mkewe ajiudumie mwenyewe au amuche akaolewe kama akibahatika kumpata mwanaume mwingine japo alishamwambia mwanamke wazo la kuachana akamkatalia.

Sent using Jamii Forums mobile app
amruhusu mke wae aiwe nje kiroho safi
 
Pole sana kwake,Mungu muweza atamponya na atarudi dimbani.

*Pia atambue sio kila mwanamke ni mroho wa mboro..so aache kujiachanisha na mkewe..aamini atapona na ashiriki maombi

Ushauri: dark side
na kama anangangania zaidi...mshauri amteue Rafiki yake (ambaye ni wewe) awe anamsaidia hilo jukumu nzitoo...


Sent using Jamii Forums mobile app
mmmh kweli hii dark side

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom