Aiba
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 2,039
- 3,879
Habari za njanuari wapendwa? Moja kwa moja kwenye mada.
Nina rafiki yangu ambaye nafanya naye kazi tumeshibana sana, na tunashauriana sana kwa mengi hasa kuusu maisha na tunataniana mara nyingi.
2017 alipata ajali ya gari alikuwa ndyo kamaliza masomo yake baada ya kupata nafasi ya kujiendeleza kimasomo akiwa kazini. Ilikuwa ajali mbaya sana kwake, ajali ambayo ilimfanya akavunjika miguu yote miwili na pingili mbili za uti wa mgongo kupishana ivyo alifanyiwa operesheni nane Muhimbili.
Ajali Ile ilimuweka miaka miwili kitandani bila kutembea zaidi ya mazoezi madogo madogo aliyokuwa anafanyiwa akiwa kitandani apoapo. Kwa sasa hali imetengamaa japo anatembea kwa magongo mwili haujawa sana tena.
Kabla ya ajali alikuwa na mke na watoto wawili saivi jogoo hasimami sababu ya Ile ajali mkewe hamu anapata japo ajawai mwambie mmewe moja kwa moja.
Mmewe saivi hana furaha ya ndoa.
Ameomba ushauri kwangu afanyaje maana bado ana wivu na mkewe anunue mboo ya bandia mkewe ajiudumie mwenyewe au amuche akaolewe kama akibahatika kumpata mwanaume mwingine japo alishamwambia mwanamke wazo la kuachana akamkatalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina rafiki yangu ambaye nafanya naye kazi tumeshibana sana, na tunashauriana sana kwa mengi hasa kuusu maisha na tunataniana mara nyingi.
2017 alipata ajali ya gari alikuwa ndyo kamaliza masomo yake baada ya kupata nafasi ya kujiendeleza kimasomo akiwa kazini. Ilikuwa ajali mbaya sana kwake, ajali ambayo ilimfanya akavunjika miguu yote miwili na pingili mbili za uti wa mgongo kupishana ivyo alifanyiwa operesheni nane Muhimbili.
Ajali Ile ilimuweka miaka miwili kitandani bila kutembea zaidi ya mazoezi madogo madogo aliyokuwa anafanyiwa akiwa kitandani apoapo. Kwa sasa hali imetengamaa japo anatembea kwa magongo mwili haujawa sana tena.
Kabla ya ajali alikuwa na mke na watoto wawili saivi jogoo hasimami sababu ya Ile ajali mkewe hamu anapata japo ajawai mwambie mmewe moja kwa moja.
Mmewe saivi hana furaha ya ndoa.
Ameomba ushauri kwangu afanyaje maana bado ana wivu na mkewe anunue mboo ya bandia mkewe ajiudumie mwenyewe au amuche akaolewe kama akibahatika kumpata mwanaume mwingine japo alishamwambia mwanamke wazo la kuachana akamkatalia.
Sent using Jamii Forums mobile app