Ingekuwa Marekani, Lowassa keshakosa urais

Ingekuwa Marekani, Lowassa keshakosa urais

Mbona kikwete alisema anawajua Wauza unga maaskofu.. Mbona ajawataja, wauwaji wa tembo watu mbona ajawataja.. Usijidanganye. Slaa katumwa, lakin watanzania hatudanganyiki tena.. Lowassa mabadiliko. Mabadiliko Lowassa...
 
Ingekuwa marekani saa hii dr slaa angetakiwa awasaidie police na takukuru dhidi ya tuhuma za rushwa kwa maaskofu na asaidie vielelezo ili watu watiwe hatiani
 
Tatizo la watanznia lipo kwa watanzania wenyewe wala siyo mfumo tatizo ni mafisadi kama Lowasa kuwahonga watu kwa ujinga wao wanakubari kuhongeka simchagui Lowasa ni fisadi.
 
Eti Marekani!! Marekani ipi hiyo unayoijua wewe inayofanya kazi kipuuzi namna hiyo pasipo mtu kutiwa hatiani?! kaa hukohuko maji machafu uswazi bhana usituchefue!!


Wakuu;
Kwa nchi kama Marekani, ambayo imeendelea sana ki mawasiliano na demokrasia. Ule mchele uliomwagwa na Dr.Slaa ulitosha kabisa kumnyima kura za wananchi.

Kigezo cha, amecheleea, oooh Katumwa, ooh kapata wapi pesa za press conference... Hizo hoja haziwezi kuficha maovu yalioanikwa na Dr.Slaa.

Kama mtu, anaweza honga mpaka viongozi wa dini... Hii ni zaidi ya hatari.

Hayo maendeleo anayo sema kwa kweli siyaoni yakitokea Tanzania hii. Sana sana kizazi cha wapiga dili nakiona kinazidi kumea sana baada ya miaka 5.

Na mshukuru huyu Mungu aliye Mbinguni, kwa haya mafunuo tuliofunuliwa jana.

Tatizo la Tanzania sio mifumo ya vyama. Bali uroho wa madaraka na rushwa zilizo kithiri.

Sitampa kura yangu mpiga dili. INATOSHA

Magufuli ndiye rais wangu.
 
Tatizo la watanznia lipo kwa watanzania wenyewe wala siyo mfumo tatizo ni mafisadi kama Lowasa kuwahonga watu kwa ujinga wao wanakubari kuhongeka simchagui Lowasa ni fisadi.

ikiwa ni ufisadi...hata katika ccm hakuna hata mmoja....kitendo cha magufuli kumpa hawara yake nyumba ya serikali, hicho tu. si urais hata uwaziri asingeupata. Kama tumeamua kuchagua mafisadi tusimnyoshee kidole mmoja na kuwaacha wengine.

Wanasiasa wote Tanzania ni mafisadi.....including dr Slaa
 
ingekuwa marekani maskendo yote ya rushwa,ccm wasingepata kura kabisa.
 
Hii ni Tanzania siyo Marekani ndio maana tuna imani naye whatever is.
 
Wakuu;
Kwa nchi kama Marekani, ambayo imeendelea sana ki mawasiliano na demokrasia. Ule mchele uliomwagwa na Dr.Slaa ulitosha kabisa kumnyima kura za wananchi.

Kigezo cha, amecheleea, oooh Katumwa, ooh kapata wapi pesa za press conference... Hizo hoja haziwezi kuficha maovu yalioanikwa na Dr.Slaa.

Kama mtu, anaweza honga mpaka viongozi wa dini... Hii ni zaidi ya hatari.

Hayo maendeleo anayo sema kwa kweli siyaoni yakitokea Tanzania hii. Sana sana kizazi cha wapiga dili nakiona kinazidi kumea sana baada ya miaka 5.

Na mshukuru huyu Mungu aliye Mbinguni, kwa haya mafunuo tuliofunuliwa jana.

Tatizo la Tanzania sio mifumo ya vyama. Bali uroho wa madaraka na rushwa zilizo kithiri.

Sitampa kura yangu mpiga dili. INATOSHA

Magufuli ndiye rais wangu.
Pamoja sana mkuu. Wapiga dili hawatakiwi tena nchi hii. Inatosha sasa.
 
Labda Marekani ya Area C Dodoma. Dr. Slaa hajaongea kitu chochote zaidi ya kutoa tu stress zake baada ya kukosa nafasi ya kuwania Urais.
 
Hii ni Tanzania siyo Marekani ndio maana tuna imani naye whatever is.

Mkuu huko Marekani anakoongelea sijui ni kupi huko. Nachojua mimi Wamarekani wanataka Evidence na sio maneno ya kwenye Kanga.
 
"..Nilikua nashindia mihogo... hata nyumba
nayoishi nimejengewa na Mwenyekiti.."
Calculation,
1. Mihogo 250/= × 2 x 3 = 1500/= per day,
(tamka "buku jero")
2. 1500/= × 365 days = 547,500/= a year. TOTAL
547,500/=
Press Conference,
1. TV (live coverage) 25 mil × 3hrs × 3Chanels =
225 mil.
2. Radio (Live coverage) 2 mil x 3 hrs × 10 = 60
mil.
3. Newspapers 5 mili (Lampsum).
TOTAL 290 Mil [tamka "milioni mia mbili na
tisini"]
Huyo ndiye mtu aliyekuwa akishindia mihogo.
Unashindia mihogo ya buku jero kwa siku, then
unachoma almost 300 Mil. in three hours, na
unapata ujasiri wa kuwaita wenzio Mafisadi.
Duuuh # Shikamoo_mihogo .!
Dah! Comment yako imemaliza kila kitu mkuu. Big up sana
 
...Labda marekani ya bwagamoyo..... ile halisi sio mazuzu kiasi hicho !! Kama ukitamka tu kuwa ulitaka kuhongwa na ukakaa kimya miaka yote hiyo na kuibuka leo basi ni wazi kuwa sasa dau limepandishwa..

Walipiga sana kelele na kujifanya wana ushaidi kuwa Obama kazaliwa Kenya n.k je mwisho wake ulikuwa nn ??

Ajabu, waliokuwa wanampigia kelele kuwa kaiba mke wa mtu, upadili ulimshinda n.k, anajikopesha fweza za chama na kujilipa posho kibao ndiyo hao hao leo eti wanamwona shujaa, eti kawafunua akili nk !! Lakini kikubwa wameshasahau, kuwa hata yy alihama CCM sababu ya kukatwa, na pia huyo EL alishikwa mkono na kufanyiwa kampeni kabambe na JK same as Mramba !! Walipotaka kuvuana magamba, tunajua nn kilitokea na mwisho wa ile kampeni ya magamba unajulikana. Kama hukufunuliwa akili then basi labda chemba za ubongo hakukuwa na kitu...!!

Wa Tz wa sasa sio wa mwaka juzi....wamechoka, tumechoka na hata wanyama kama tembo na Twiga wamechoka..kwanza ni kuwapiga chini hawa magamba mengine baadae..

Wakuu;
Kwa nchi kama Marekani, ambayo imeendelea sana ki mawasiliano na demokrasia. Ule mchele uliomwagwa na Dr.Slaa ulitosha kabisa kumnyima kura za wananchi.

Kigezo cha, amecheleea, oooh Katumwa, ooh kapata wapi pesa za press conference... Hizo hoja haziwezi kuficha maovu yalioanikwa na Dr.Slaa.

Kama mtu, anaweza honga mpaka viongozi wa dini... Hii ni zaidi ya hatari.

Hayo maendeleo anayo sema kwa kweli siyaoni yakitokea Tanzania hii. Sana sana kizazi cha wapiga dili nakiona kinazidi kumea sana baada ya miaka 5.

Na mshukuru huyu Mungu aliye Mbinguni, kwa haya mafunuo tuliofunuliwa jana.

Tatizo la Tanzania sio mifumo ya vyama. Bali uroho wa madaraka na rushwa zilizo kithiri.

Sitampa kura yangu mpiga dili. INATOSHA

Magufuli ndiye rais wangu.
 
"..Nilikua nashindia mihogo... hata nyumba
nayoishi nimejengewa na Mwenyekiti.."
Calculation,
1. Mihogo 250/= × 2 x 3 = 1500/= per day,
(tamka "buku jero")
2. 1500/= × 365 days = 547,500/= a year. TOTAL
547,500/=
Press Conference,
1. TV (live coverage) 25 mil × 3hrs × 3Chanels =
225 mil.
2. Radio (Live coverage) 2 mil x 3 hrs × 10 = 60
mil.
3. Newspapers 5 mili (Lampsum).
TOTAL 290 Mil [tamka "milioni mia mbili na
tisini"]
Huyo ndiye mtu aliyekuwa akishindia mihogo.
Unashindia mihogo ya buku jero kwa siku, then
unachoma almost 300 Mil. in three hours, na
unapata ujasiri wa kuwaita wenzio Mafisadi.
Duuuh # Shikamoo_mihogo .!

Kweli, shikamoo mihogo
 
Unaemuita Dr. Slaa traitor, mwenzangu wewe chadema una Cheo gani angalau ukiniambia ninaweza kukuunga mkono, convence m sm moo dat Slaa is a traitor
 
Wakuu;
Kwa nchi kama Marekani, ambayo imeendelea sana ki mawasiliano na demokrasia. Ule mchele uliomwagwa na Dr.Slaa ulitosha kabisa kumnyima kura za wananchi.

Kigezo cha, amecheleea, oooh Katumwa, ooh kapata wapi pesa za press conference... Hizo hoja haziwezi kuficha maovu yalioanikwa na Dr.Slaa.

Kama mtu, anaweza honga mpaka viongozi wa dini... Hii ni zaidi ya hatari.

Hayo maendeleo anayo sema kwa kweli siyaoni yakitokea Tanzania hii. Sana sana kizazi cha wapiga dili nakiona kinazidi kumea sana baada ya miaka 5.

Na mshukuru huyu Mungu aliye Mbinguni, kwa haya mafunuo tuliofunuliwa jana.

Tatizo la Tanzania sio mifumo ya vyama. Bali uroho wa madaraka na rushwa zilizo kithiri.

Sitampa kura yangu mpiga dili. INATOSHA

Magufuli ndiye rais wangu.

Swadakta.
Pia ingelikuwa Marekani Rais wa nchi angeshajiuzulu toka 2008.
 
km ni traitor basi ni traitor wakusema kweli.... swali muhimu je aliyosema jana yalikuwa ni kweli au uongo???

Hivi unaupimaje ukweli? Kwa kuwa aliesema ni mungu au binadamu? Makaratasi aliyoyabeba au mbwembwe za kuongea? Mi ningemuona wa maana kama angefunguka hayo mapema na akaenda mahakamani kufungua kesi kama mtikila anayifanyaga...sisi sio wajinga jamani shuke za kata za Edo zimetufungua macho...poleni
 
Back
Top Bottom