Ingekuwa Marekani, Lowassa keshakosa urais

Ingekuwa Marekani, Lowassa keshakosa urais

Marekani hakuna watu wakuongea pointless,
Kule hakuna siasa za kupakana

Ila kura yangu nitampa EL.
 
Tusidanganyane Demokrasia Ya Marekani Ipo Mbali Sana,hembu Fikiria Bado Mwaka 1 Watu Wameshatangaza Nia Na Fomu Ndani Ya Vyama Zishachukuliwa Afu Tunataka Kucompare Na Huku,chama Kinangojea Mwenzake Atangaze Mgombea Wake Na Yeye Atafute Wa Kucompete Nae!kwel?Marekani Mtu Anapendekezwa Kwa Hoja Zake,mwenye Hoja Za Msing Ndo Anachukua Nchi it doesnt matter anakashfa gan as long as amejitetea amethibitisha wth facts kua sio kashfa zake.Kwa Tz Ukilinganisha Hilo Sasa Hv Tusingekuwa Na Mgombea Hata Mmoja Kwasababu Wote Before Hawakutupa Hoja Za Msingi Kwanin Wanataka Urais.Both Of Them Depends Much Juu Ya Ilani Zao,sio Lowassa Sio Magufuli.
 
Zile nondo alizomwaga Dr. Slaa jana zilikuwa zimwagwe wakati wa kampeni, kama Lowassa angechaguliwa kupeperusha bendera kupitia CCM! Chadema wangetumia karata hiyo kumsulubu Lowassa akiwa CCM. Sasa kwavile amehamia CCMB (kwa mujibu wa Mzee Mwinyi pale jangwani),ameona bado zitafanya kazi iliyokusudiwa!
 
Wakuu;
Kwa nchi kama Marekani, ambayo imeendelea sana ki mawasiliano na demokrasia. Ule mchele uliomwagwa na Dr.Slaa ulitosha kabisa kumnyima kura za wananchi.

Kigezo cha, amecheleea, oooh Katumwa, ooh kapata wapi pesa za press conference... Hizo hoja haziwezi kuficha maovu yalioanikwa na Dr.Slaa.

Kama mtu, anaweza honga mpaka viongozi wa dini... Hii ni zaidi ya hatari.

Hayo maendeleo anayo sema kwa kweli siyaoni yakitokea Tanzania hii. Sana sana kizazi cha wapiga dili nakiona kinazidi kumea sana baada ya miaka 5.

Na mshukuru huyu Mungu aliye Mbinguni, kwa haya mafunuo tuliofunuliwa jana.

Tatizo la Tanzania sio mifumo ya vyama. Bali uroho wa madaraka na rushwa zilizo kithiri.

Sitampa kura yangu mpiga dili. INATOSHA

Magufuli ndiye rais wangu.

NGASSA ANGEKUA MAREKANI ANGEKUA BiLLIONEA
 
Hivi unaupimaje ukweli? Kwa kuwa aliesema ni mungu au binadamu? Makaratasi aliyoyabeba au mbwembwe za kuongea? Mi ningemuona wa maana kama angefunguka hayo mapema na akaenda mahakamani kufungua kesi kama mtikila anayifanyaga...sisi sio wajinga jamani shuke za kata za Edo zimetufungua macho...poleni

tunapima ukweli kwa kuongea na ushahidi ukiwepo lakini.zuri zaidi lile la kusema km kuna mtu ameona ni uongo na ajitokeze hadharani na ushahidi..... huu ndio ukweli
 
Wakuu;
Kwa nchi kama Marekani, ambayo imeendelea sana ki mawasiliano na demokrasia. Ule mchele uliomwagwa na Dr.Slaa ulitosha kabisa kumnyima kura za wananchi.

Kigezo cha, amecheleea, oooh Katumwa, ooh kapata wapi pesa za press conference... Hizo hoja haziwezi kuficha maovu yalioanikwa na Dr.Slaa.

Kama mtu, anaweza honga mpaka viongozi wa dini... Hii ni zaidi ya hatari.

Hayo maendeleo anayo sema kwa kweli siyaoni yakitokea Tanzania hii. Sana sana kizazi cha wapiga dili nakiona kinazidi kumea sana baada ya miaka 5.

Na mshukuru huyu Mungu aliye Mbinguni, kwa haya mafunuo tuliofunuliwa jana.

Tatizo la Tanzania sio mifumo ya vyama. Bali uroho wa madaraka na rushwa zilizo kithiri.

Sitampa kura yangu mpiga dili. INATOSHA

Magufuli ndiye rais wangu.

Usisahau kua ingalikua marekani hakuna kiongozi wakuiongoza Tanzania (Rais) mara hii.
Coz wamara hii wote wana kasfa.
 
Wakuu;
Kwa nchi kama Marekani, ambayo imeendelea sana ki mawasiliano na demokrasia. Ule mchele uliomwagwa na Dr.Slaa ulitosha kabisa kumnyima kura za wananchi.

Kigezo cha, amecheleea, oooh Katumwa, ooh kapata wapi pesa za press conference... Hizo hoja haziwezi kuficha maovu yalioanikwa na Dr.Slaa.

Kama mtu, anaweza honga mpaka viongozi wa dini... Hii ni zaidi ya hatari.

Hayo maendeleo anayo sema kwa kweli siyaoni yakitokea Tanzania hii. Sana sana kizazi cha wapiga dili nakiona kinazidi kumea sana baada ya miaka 5.

Na mshukuru huyu Mungu aliye Mbinguni, kwa haya mafunuo tuliofunuliwa jana.

Tatizo la Tanzania sio mifumo ya vyama. Bali uroho wa madaraka na rushwa zilizo kithiri.

Sitampa kura yangu mpiga dili. INATOSHA

Magufuli ndiye rais wangu.
Mkapa hakukosea hata kidogo kuwaita wapumbavu na malofa hao wezi na mashabiki wao.
 
mbona kikwete alisema anawajua wauza unga maaskofu.. Mbona ajawataja, wauwaji wa tembo watu mbona ajawataja.. Usijidanganye. Slaa katumwa, lakin watanzania hatudanganyiki tena.. Lowassa mabadiliko. Mabadiliko lowassa...

mabadiliko ya kuwaweka madarakani mafisadi afadhali yasiwepo kabisa
 
Jana nilikua nasubiri matumizi ya lile lundo la makaratasi aliyokua ameyabeba nikijua ataweka wazi huo ushaidi ili tuuone nikashangaa kapiga kelele tu tulizozizoea na kuondoka
 
Wakuu;
Kwa nchi kama Marekani, ambayo imeendelea sana ki mawasiliano na demokrasia. Ule mchele uliomwagwa na Dr.Slaa ulitosha kabisa kumnyima kura za wananchi.

Kigezo cha, amecheleea, oooh Katumwa, ooh kapata wapi pesa za press conference... Hizo hoja haziwezi kuficha maovu yalioanikwa na Dr.Slaa.

Kama mtu, anaweza honga mpaka viongozi wa dini... Hii ni zaidi ya hatari.

Hayo maendeleo anayo sema kwa kweli siyaoni yakitokea Tanzania hii. Sana sana kizazi cha wapiga dili nakiona kinazidi kumea sana baada ya miaka 5.

Na mshukuru huyu Mungu aliye Mbinguni, kwa haya mafunuo tuliofunuliwa jana.

Tatizo la Tanzania sio mifumo ya vyama. Bali uroho wa madaraka na rushwa zilizo kithiri.

Sitampa kura yangu mpiga dili. INATOSHA

Magufuli ndiye rais wangu.

Muta bwabwaja sana mwaka huu. Mulizoea kunyanyasa watanza, wamewashitukia sasa munahaha. Siku ya kufa nyani kila tawi huteleza ndo mwaka huu.
 
Lowasa hawezi kwenda magogoni Nasema, wakajenge ikulu huko monduli, itamfaa. Hatuwezi kuweka wapiga dili ikulu hata siku moja.
Shida iliyopo wapumbavu wasiopenda kufikiri na malofa hawajui watendalo, na bahati mbaya hawajui kuwa hawajui.
 
Back
Top Bottom