I thinks the issue suits either side depending on who owns what, where, how and when.
Hakuna crisis maana viongozi wakuu wapo na wana-manage.
Anapotea hakuna jibu hapo.So where’s Magufuli?
Imekwisha enzi, kilichobaki ni kuzukwa kwenye shubakaHey, it’s me, yours truly and back again with another one.
I got a feeling. A feeling deep down in my bones that it’s the end of the road. A big announcement soon to come? Let’s keep it locked and not change that dial and we shall find out. But that’s neither here nor there. So let’s get to it...
Yule Bwana yupo Mafungo kwenye Centre Moja ya Kanisa hapo Mjini Dar es salaam anajiandaaa na Pasaka...ungekuwa sahihi kama ungesema baadhi ya viongozi wakuu wapo na wana-manage.
..bwana hajaonekana kwa wiki tatu sasa.
..Je, anaumwa, au yu buheri wa afya?
..Je, ni lini bwana mkubwa ataonekana tena kwa wananchi wake?
Good riddance!Hey, it’s me, yours truly and back again with another one.
I got a feeling. A feeling deep down in my bones that it’s the end of the road. A big announcement soon to come? Let’s keep it locked and not change that dial and we shall find out. But that’s neither here nor there. So let’s get to it.
Serikali ya CCM imepwaya sana katika suala zima la information management na crisis management katika hiki kinachoendelea hivi sasa.
Crisis iliyopo ni ya kujitakia.
Information management ni ule mzunguko mzima wa habari, kuanzia zinapopatikana na zinavyopatikana, zinavyokusanywa, zinavyochakatwa, halafu zinavyoenezwa au kusambazwa kwa umma.
Serikali ilipaswa ndo iwe ya kwanza kutujuza juu ya kinachoendelea.
Lakini, haikuwa hivyo.
Wamekaa wakazubaa mpaka mtandao ulipotutonya kuwa hali si shwari.
Kwa sisi wanahabari [yes, I am an electronic media broadcast specialist and a highly trained one, at that😉] huwa tuna msemo wetu kwamba ‘the internet is undefeated’.
Sasa hawa watu wa serikali ya CCM badala ya kuwa on top of it from the jump, wamewapa upenyo watu wa mtandaoni kuwa ndo wa kwanza kuufahamisha umma!
Matokeo yake ndo haya unaona waziri mkuu anasema hiki ambacho to all intents and purposes kinakuja kuwa contradicted na makamu wa raisi jana, ambaye bila kusema waziwazi kuwa kuna tatizo, akasema kuwa kuna tatizo.
Sasa matokeo ya kushindwa kuwa na information management nzuri ni yepi?
Well, unashindwa ku control the narrative. Unakuwa mtu wa ku react tu bila hata kutumia akili. Unaanza kukamata mafundi simu kwa sababu dhaifu kuliko hata afya za baadhi ya watu ambao for now shall remain nameless.
Right now it’s the internet that’s controlling the narrative. Denizens in the Twitter Republic of Tanzania and experts from the WhatsApp University of Tanzania are on fire. Rife with speculations.
I know that it is hard to prevent people from talking, especially on the internet.
However, all this was very avoidable had they been quick to tell us what is going on and give us updates on any new developments.
They’d have been in the driver’s seat, as far as controlling the narrative is concerned.
Now they are so confused. They don’t know what to do. And thus they’ve resorted to intimidation tactics and arresting regular Joes and Janes for asking what is basically a fair a question: where is he?
Faida ingine ya information management nzuri ni consistency.
Yaani wahusika wote wakuu mnakuwa katika ukurusa mmoja, kwa mintarafu ya habari mlizozitangaza.
Kunakuwa hakuna contradiction ya huyu kusema hiki na yule kusema tofauti na alichokisema huyu.
Hii pia inaepusha aibu mbeleni.
Majuzi ile waziri mkuu aliposema jamaa yupo na anaendelea kuchapa kazi, alikuwa anatuambia ukweli, kweli? Manake jana alichokisema Mama Samia hakishabihiani kabisa na alichokisema Bw. Majaliwa.
Had they better managed the information from the start, that would have allowed them to better handle the crisis we find ourselves in right now.
Halafu hili suala la information management ni tatizo kubwa hata kwa vyama vingine vya kisiasa.
I hope they’re taking notes.
Kuna uwezekano wamepigwa ganzi hawajui wafanye nini.Kwa msingi huo, ina maana basi jamaa bado yu hai, siyo?
Manake ingekuwa ni kinyume na hivyo, kwa nini waogope kutangaza?
Ila wanakosea sana.
Imani ya wananchi kwa serikali yao imeshuka sana.
Asante sana...Hakuna tatizo lolote na hisia zako si za ukweli.
Wote hao ulowataja wanazo taarifa kamili na zinawafikia kadri hali inavyoruhusu.
Lakini kwanza chukulia taarifa ya kutoka Namibia ndo ilikuwa mwongozo wa taarifa/kauli zilofuata.
Sisi humu JF na mitandaoni hatuna taarifa zozote zenye uhalisia kwa asilimia 100.
Hivyo, tuepuke uzushi na upindishaji habari.
I concur,Power struggle behind the scene:
1.Perhaps Some want assurance of their well being or amnesty before jumping onboard to offer allegiences
2. Some bank accounts probably have to be emptied/ cleared first before a new regime takes over lest it freeze them.
3. Some files have to be destroyed, or hidden before the new regime comes at the helm (but this is treasonous)
4. Who is to be the VP? - There must be a huge debate from the inner circles
5. How to conduct the ceremony, the logistics, the budget, the choirs, the speeches, the stage and so on
So probably thats why they are taking such a longtime.
But one thing is crystal clear, the more they delay, the worst it becomes, Untrusted they will be!. This shall have the consequence of undermining the crefibility of the Prime Minister and the VP who is supposed to take over
Kweli kabisaHey, it’s me, yours truly and back again with another one.
I got a feeling. A feeling deep down in my bones that it’s the end of the road. A big announcement soon to come? Let’s keep it locked and not change that dial and we shall find out. But that’s neither here nor there. So let’s get to it.
Serikali ya CCM imepwaya sana katika suala zima la information management na crisis management katika hiki kinachoendelea hivi sasa.
Crisis iliyopo ni ya kujitakia.
Information management ni ule mzunguko mzima wa habari, kuanzia zinapopatikana na zinavyopatikana, zinavyokusanywa, zinavyochakatwa, halafu zinavyoenezwa au kusambazwa kwa umma.
Serikali ilipaswa ndo iwe ya kwanza kutujuza juu ya kinachoendelea.
Lakini, haikuwa hivyo.
Wamekaa wakazubaa mpaka mtandao ulipotutonya kuwa hali si shwari.
Kwa sisi wanahabari [yes, I am an electronic media broadcast specialist and a highly trained one, at that] huwa tuna msemo wetu kwamba ‘the internet is undefeated’.
Sasa hawa watu wa serikali ya CCM badala ya kuwa on top of it from the jump, wamewapa upenyo watu wa mtandaoni kuwa ndo wa kwanza kuufahamisha umma!
Matokeo yake ndo haya unaona waziri mkuu anasema hiki ambacho to all intents and purposes kinakuja kuwa contradicted na makamu wa raisi jana, ambaye bila kusema waziwazi kuwa kuna tatizo, akasema kuwa kuna tatizo.
Sasa matokeo ya kushindwa kuwa na information management nzuri ni yepi?
Well, unashindwa ku control the narrative. Unakuwa mtu wa ku react tu bila hata kutumia akili. Unaanza kukamata mafundi simu kwa sababu dhaifu kuliko hata afya za baadhi ya watu ambao for now shall remain nameless.
Right now it’s the internet that’s controlling the narrative. Denizens in the Twitter Republic of Tanzania and experts from the WhatsApp University of Tanzania are on fire. Rife with speculations.
I know that it is hard to prevent people from talking, especially on the internet.
However, all this was very avoidable had they been quick to tell us what is going on and give us updates on any new developments.
They’d have been in the driver’s seat, as far as controlling the narrative is concerned.
Now they are so confused. They don’t know what to do. And thus they’ve resorted to intimidation tactics and arresting regular Joes and Janes for asking what is basically a fair a question: where is he?
Faida ingine ya information management nzuri ni consistency.
Yaani wahusika wote wakuu mnakuwa katika ukurusa mmoja, kwa mintarafu ya habari mlizozitangaza.
Kunakuwa hakuna contradiction ya huyu kusema hiki na yule kusema tofauti na alichokisema huyu.
Hii pia inaepusha aibu mbeleni.
Majuzi ile waziri mkuu aliposema jamaa yupo na anaendelea kuchapa kazi, alikuwa anatuambia ukweli, kweli? Manake jana alichokisema Mama Samia hakishabihiani kabisa na alichokisema Bw. Majaliwa.
Had they better managed the information from the start, that would have allowed them to better handle the crisis we find ourselves in right now.
Halafu hili suala la information management ni tatizo kubwa hata kwa vyama vingine vya kisiasa.
I hope they’re taking notes.
Asante sana na iwe shule kwetu sote.Hey, it’s me, yours truly and back again with another one.
I got a feeling. A feeling deep down in my bones that it’s the end of the road. A big announcement soon to come? Let’s keep it locked and not change that dial and we shall find out. But that’s neither here nor there. So let’s get to it.
Serikali ya CCM imepwaya sana katika suala zima la information management na crisis management katika hiki kinachoendelea hivi sasa.
Crisis iliyopo ni ya kujitakia.
Information management ni ule mzunguko mzima wa habari, kuanzia zinapopatikana na zinavyopatikana, zinavyokusanywa, zinavyochakatwa, halafu zinavyoenezwa au kusambazwa kwa umma.
Serikali ilipaswa ndo iwe ya kwanza kutujuza juu ya kinachoendelea.
Lakini, haikuwa hivyo.
Wamekaa wakazubaa mpaka mtandao ulipotutonya kuwa hali si shwari.
Kwa sisi wanahabari [yes, I am an electronic media broadcast specialist and a highly trained one, at that😉] huwa tuna msemo wetu kwamba ‘the internet is undefeated’.
Sasa hawa watu wa serikali ya CCM badala ya kuwa on top of it from the jump, wamewapa upenyo watu wa mtandaoni kuwa ndo wa kwanza kuufahamisha umma!
Matokeo yake ndo haya unaona waziri mkuu anasema hiki ambacho to all intents and purposes kinakuja kuwa contradicted na makamu wa raisi jana, ambaye bila kusema waziwazi kuwa kuna tatizo, akasema kuwa kuna tatizo.
Sasa matokeo ya kushindwa kuwa na information management nzuri ni yepi?
Well, unashindwa ku control the narrative. Unakuwa mtu wa ku react tu bila hata kutumia akili. Unaanza kukamata mafundi simu kwa sababu dhaifu kuliko hata afya za baadhi ya watu ambao for now shall remain nameless.
Right now it’s the internet that’s controlling the narrative. Denizens in the Twitter Republic of Tanzania and experts from the WhatsApp University of Tanzania are on fire. Rife with speculations.
I know that it is hard to prevent people from talking, especially on the internet.
However, all this was very avoidable had they been quick to tell us what is going on and give us updates on any new developments.
They’d have been in the driver’s seat, as far as controlling the narrative is concerned.
Now they are so confused. They don’t know what to do. And thus they’ve resorted to intimidation tactics and arresting regular Joes and Janes for asking what is basically a fair a question: where is he?
Faida ingine ya information management nzuri ni consistency.
Yaani wahusika wote wakuu mnakuwa katika ukurusa mmoja, kwa mintarafu ya habari mlizozitangaza.
Kunakuwa hakuna contradiction ya huyu kusema hiki na yule kusema tofauti na alichokisema huyu.
Hii pia inaepusha aibu mbeleni.
Majuzi ile waziri mkuu aliposema jamaa yupo na anaendelea kuchapa kazi, alikuwa anatuambia ukweli, kweli? Manake jana alichokisema Mama Samia hakishabihiani kabisa na alichokisema Bw. Majaliwa.
Had they better managed the information from the start, that would have allowed them to better handle the crisis we find ourselves in right now.
Halafu hili suala la information management ni tatizo kubwa hata kwa vyama vingine vya kisiasa.
I hope they’re taking notes.
Ni jana tu niliandika kuwa I had a feeling deep in my bones that the end of the road was near...
And now look....
Evidently.....kwa hiyo waliosema alikuwa mgonjwa walikuwa wanasema kweli.
Evidently...