Infidelity Investigation

Infidelity Investigation

Tatizo la waswahili ni ethics za kazi. Hawakawii kukusaidia kufumania kweli, halafu kwesho uko kwa shigongo. Kuna ndugu yangu anatumiaga vijana wa pikipiki, na kila siku anamfumania mkewe na kumtimua. Haipiti mwezi wanarudiana, naona ndo style ya maisha yao.


The good thing we are Professionals and not Waswahili. So, no noises. Ni kazi tu na evidences as per ToR.
 
He he he, ndio maana wanasema kutoa talaka kipaji

Unakuta mwanamme anampa talaka mkewe afu baada ya wiki unawakuta gizani wanatongozana upya

Tatizo la waswahili ni ethics za kazi. Hawakawii kukusaidia kufumania kweli, halafu kwesho uko kwa shigongo. Kuna ndugu yangu anatumiaga vijana wa pikipiki, na kila siku anamfumania mkewe na kumtimua. Haipiti mwezi wanarudiana, naona ndo style ya maisha yao.
 
Ya nini kumwaga mchele hadharani. Umeshaambiwa PM for further details. Umeshaambiwa utapewa taarifa vielelezo vyote vilivyopatikana. Sasa shida ni evidence au siri za kazi?

Haya Bosi,nimekusoma.
 
Mwanamke ni zaidi ya kick!!! wanawake wengi vitu vidogo vidogo sana ambavyo wanaume wengi wanavidharau huwa vinawatuliza kabisa!!! Tatizo ni kwa wafungua flaisi tu!! Wengine hata mke ajitahidi vipi lakini nje lazima!! Laana hii!!
 
Mwanamke ni zaidi ya kick!!! wanawake wengi vitu vidogo vidogo sana ambavyo wanaume wengi wanavidharau huwa vinawatuliza kabisa!!! Tatizo ni kwa wafungua flaisi tu!! Wengine hata mke ajitahidi vipi lakini nje lazima!! Laana hii!!

Well written. Kunguru hafugiki.
 
Jamani hakuna siri duniani,,Kama una mume ama mchumba ambaye ni mtarajiwa we omba tu Mungu akuonyeshe kama kweli huyo mtu ni mkweli kwako,,,hata iweje kama mtu wako anakucheat utakuja kujua tu kwa njia yoyote ile..
Hakunaga siri
 
Tunatoa hudumu kwa wale wanaohisi wapenzi wao si waaminifu na wanataka wapate uhakika juu ya hisia zao.

Huduma ni ya siri sana na Phase 1 inachukua wiki moja ambapo unapewa taarifa ya awali na kuonyeshwa vielelezo vyote vilivyopatikana.

NB: Masharti na vigezo vikali kuzingatiwa. Pia be aware the service is expensive.

PM for further details.

Cjui Ku pm na huduma naitaka nifanyaje?
 
Tunatoa hudumu kwa wale wanaohisi wapenzi wao si waaminifu na wanataka wapate uhakika juu ya hisia zao.

Huduma ni ya siri sana na Phase 1 inachukua wiki moja ambapo unapewa taarifa ya awali na kuonyeshwa vielelezo vyote vilivyopatikana.

NB: Masharti na vigezo vikali kuzingatiwa. Pia be aware the service is expensive.

PM for further details.

Mtafungwa nyie
 
Tunatoa hudumu kwa wale
wanaohisi wapenzi wao si waaminifu na wanataka wapate uhakika juu ya
hisia zao.

Huduma ni ya siri sana na Phase 1 inachukua wiki moja ambapo unapewa
taarifa ya awali na kuonyeshwa vielelezo vyote vilivyopatikana.

NB: Masharti na vigezo vikali kuzingatiwa. Pia be aware the service is
expensive.

PM for further details.

ninachojua ni kuwa unachochunguza kwa mtu kipo na kama halipo bas chaja. so ya nn kukishuhudia? strees za nn? dah
 
Back
Top Bottom