Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,855
- 4,894
Kusoma huwezi, hata picha nayo yakushinda? Ukisoma hiyo red bold bado hujaelewa? Siku nyingine ntakutia bakora!
Au bado hujaelewa? FYI vidume vingekuwa rahisi kukamatika, asilimia 85 ya ndoa zingekuwa zimeshavunjika! Kwa sababu gani? Simple asilimia 99 ya wanaume wanacheat. Umeridhika?
Duh! Hii asilimia inatisha