GE2025 INEC: Mfumo wa TEHAMA wa INEC umeunganishwa (Interphase) na Mfumo wa NIDA ili kuboresha utendaji

GE2025 INEC: Mfumo wa TEHAMA wa INEC umeunganishwa (Interphase) na Mfumo wa NIDA ili kuboresha utendaji

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Common Folk

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
878
Reaction score
3,920
Mwezi March 2025 wakati wa mkutano wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na Wadau, Mkurugenzi wa TEHAMA-INEC (Stanslaus Mwita) alinukuliwa akisema " Tumefanya maboresho kwa kufanya maunganisho ya kimfumo kati ya mfumo wa kupiga kura wa INEC na Mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)."



 
Mwezi March 2025 wakati wa mkutano wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na Wadau, Mkurugenzi wa TEHAMA-INEC (Stanslaus Mwita) alinukuliwa akisema " Tumefanya maboresho kwa kufanya maunganisho ya kimfumo kati ya mfumo wa kupiga kura wa INEC na Mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)."

View attachment 3450722
Naona umefukua kaburi.
 
Mwezi March 2025 wakati wa mkutano wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na Wadau, Mkurugenzi wa TEHAMA-INEC (Stanslaus Mwita) alinukuliwa akisema " Tumefanya maboresho kwa kufanya maunganisho ya kimfumo kati ya mfumo wa kupiga kura wa INEC na Mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)."

View attachment 3450722
Polepole aendelee kupiga hapo hapo kwenye mshono!
 
Kailima ni kada muaminifu wa Fisiemu ni mtu muongo sana leo kavuliwa nguo kweupeee
 
Watanzania ni hamnazo kweili kweli sasa hapa kuna ubaya gani hizo ni technologies. Tena tumechelewa sana. ! Kwanza kura tunapiga kwa paper huo mfumo ndio unapiga kura.

Tena mfumo kabisa wengeunga na rita kabisa ili watu tusisumbuane sijui kalete cheti cha kuzaliwa au kalete nida .mwendo uwe online tu katika huduma za kijamiii kama bank , hospital na n.k
 
Watanzania ni hamnazo kweili kweli sasa hapa kuna ubaya gani hizo ni technologies. Tena tumechelewa sana. ! Kwanza kura tunapiga kwa paper huo mfumo ndio unapiga kura.

Tena mfumo kabisa wengeunga na rita kabisa ili watu tusisumbuane sijui kalete cheti cha kuzaliwa au kalete nida .mwendo uwe online tu katika huduma za kijamiii kama bank , hospital na n.k
Kuna kitu hujaelewa kumbe, hapo wale ambao hawatajitokeza kupiga kura ni sawa na walioenda maana watapigiwa huko juu kwa juu na kujumuishwa smbamba na kupata idadi kubwa ya waliojiandikisha pasipo uhalisia
 
Back
Top Bottom