Indian School Dar es Salaam

Jongwe

JF-Expert Member
Apr 25, 2008
1,039
659
Indian School ni shule iliyopo jiji Dar es Salaam. Sina uhakika wanatumia mtalaa upi kufundisha. Lakini kilichonigusa ni hili jina tu, mimi naona linaviashiria vya ubaguzi. Ni shule imeanzishwa miaka kadhaa iliyopita. Najiuliza Wasajiri waliwezaje kuruhuhusu jina la namna hii?
20180309_064033.jpg
 
Wahindi na Waarabu ni watu wabaguzi siku zote katika dunia hii.

Kuna shule kadhaa zenye majina ya kiingereza lakini wanafunzi WOTE yaani 100% ni wahindi tu.

Hizi shule zipo Nairobi, Dsm na Arusha.

Hata kama mzazi mweusi ana uwezo kiasi gani mwanae hataweza kujoin hizi shule.

Ninachojiuliza : ikiwa wanatumia kiingereza kama lugha ya kufundishia na sio kihindi...ni kwanini hawawasajili watoto weusi?
 
Tukitafsiri kila jina linalozunguka duniani ubaguzi itakuwa shida, mwenyewe fikiria Muhindi akiisikia Young African akufahamishe huu ubaguzi utamuelewa? Ukiondoa mawazo negative hata ukikutana na mbaguzi atajifunza kwako kwamba ana chembe chembe za ujinga.
 
Wahindi na Waarabu ni watu wabaguzi siku zote katika dunia hii.

Kuna shule kadhaa zenye majina ya kiingereza lakini wanafunzi WOTE yaani 100% ni wahindi tu.

Hizi shule zipo Nairobi, Dsm na Arusha.

Hata kama mzazi mweusi ana uwezo kiasi gani mwanae hataweza kujoin hizi shule.

Ninachojiuliza : ikiwa wanatumia kiingereza kama lugha ya kufundishia na sio kihindi...ni kwanini hawawasajili watoto weusi?
Shule kama Aga-khan na Shaaban robert mbona hazina hayo mambo unayosema, waAfrika tumesoma hapo miaka yote kwa raha mstarehe, na hatujakutana na ubaguzi wa aina yeyote ule!
 
Shule kama Aga-khan na Shaaban robert mbona hazina hayo mambo unayosema, waAfrika tumesoma hapo miaka yote kwa raha mstarehe, na hatujakutana na ubaguzi wa aina yeyote ule!
Hata shule kama Arusha meru au Jaffery pia ni ya wahindi ila watu weusi wanasoma huko

Ila zipo zingine ambazo asilani hukuti kabisa na hawampokei mtu mweusi.

Ngoja nitakutafutia kwa majina na kukuwekea hapa.
 
Tukitafsiri kila jina linalozunguka duniani ubaguzi itakuwa shida, mwenyewe fikiria Muhindi akiisikia Young African akufahamishe huu ubaguzi utamuelewa? Ukiondoa mawazo negative hata ukikutana na mbaguzi atajifunza kwako kwamba ana chembe chembe za ujinga.
Young AFRICAN sio jina la kibaguzi. Wahindi, Wazungu, Waarabu, nk wanaweza kuwa Africans.

Watanzania wa makabila yote (pamoja na Wahindi raia) ni Africans.
 
Wana mtaala wa kihindi, hata nyimbo ya taifa ni ya kihindi lazima waimbe, english ni somo tu kama masomo mengine lakin wanatumia kihindi kufundisha

Wana kibali, naona ni kufundisha watoto wao tamaduni za kwao ili wasizisahau
 
Wahindi na Waarabu ni watu wabaguzi siku zote katika dunia hii.

Kuna shule kadhaa zenye majina ya kiingereza lakini wanafunzi WOTE yaani 100% ni wahindi tu.

Hizi shule zipo Nairobi, Dsm na Arusha.

Hata kama mzazi mweusi ana uwezo kiasi gani mwanae hataweza kujoin hizi shule.

Ninachojiuliza : ikiwa wanatumia kiingereza kama lugha ya kufundishia na sio kihindi...ni kwanini hawawasajili watoto weusi?

Seriously?
 
Hakuna ubaguzi ikiwa utataka mwanao akasome maandishi ya kihindi. Kama hutaki bas acha wakasome wahindi
 
Back
Top Bottom