India kulichunguza jua baada ya kutua mwezini

Eugen TZA

Member
Aug 7, 2023
61
98
Nchi ya India wamezindua (Mission) yao ya kwanza kuelekea kulichunguza Jua juu angani baada ya kutua mwezini katika siku za hivi karibuni, Chombo chao cha angani kumepaa kutoka Sriharikota India kikisafiri kwa safari ya Kilomita 1.5 Milioni mbali na Dunia.

Baada ya miezi minne ya safari chombo hicho kilichopewa jina Aditya-L1 kitafika juani kikilichunguza jua kwa karibu na uchunguzi huo utakua na manufaa na faida sio tu kwa India bali jumuiya nzima ya watafiti na wanasayansi Duniani, Ni muendelezo wa nchi mbalimbali kuongeza wigo wake wa kutafiti na kutafuta maisha Nj'e ya Dunia.

#PeaceOverInterest
 
Tuendelee tu kumchokonoa Mungu na yeye akiendelea kutustaajabu taratibu kwa vitu kama Wildfire's unavyozifi kuichoma misitu huko Duniani na Vimbunga vinavyozidi kuchachamaa huko Duniani .

Code imesomeka!
Hapana upo wrong. Hatuwezi kumchokonoa mungu.
 
Sisi ni kuwasha Sparks tu kwenye kizimkazi ka setelite kamoja kanatutoa jasho uongo mtupuu
 
Tanzania inatarajia kuuza umeme nchi za jirani wakati huo inaishi kwa umeme wa mgao na kukatika hovyo.
 
Acha waende, tukijipanga na sisi tutatuma satelaiti jehanamu
 
Hata Bwawa la Nyerere likianza uzalishaji. umeme hautashuka bei
 
Uongo.

Hata elements wanazosema zipo Juani kama Hydrogen na Helium kwa percents zile ni uongo
 
Baada ya miezi minne ya safari chombo hicho kilichopewa jina Aditya-L1 kitafika juani kikilichunguza jua kwa karibu
KImetengenezwa kwa madini gani hata kisiyeyuke? Au kitakwenda usiku kukiwa kumepoa?
 
Nchi ya India wamezindua (Mission) yao ya kwanza kuelekea kulichunguza Jua juu angani baada ya kutua mwezini katika siku za hivi karibuni, Chombo chao cha angani kumepaa kutoka Sriharikota India kikisafiri kwa safari ya Kilomita 1.5 Milioni mbali na Dunia.

Baada ya miezi minne ya safari chombo hicho kilichopewa jina Aditya-L1 kitafika juani kikilichunguza jua kwa karibu na uchunguzi huo utakua na manufaa na faida sio tu kwa India bali jumuiya nzima ya watafiti na wanasayansi Duniani, Ni muendelezo wa nchi mbalimbali kuongeza wigo wake wa kutafiti na kutafuta maisha Nj'e ya Dunia.

#PeaceOverInterest
Akili kubwa hizi, huku kwetu akili kubwa ni kubeba mawaziri na kuwapereka Kizimkazi "kuwaapisha" Unatumia, gharama kubwa wakati Ikulu Dar IPO, Dodoma zipo mbili!
 
Tuendelee tu kumchokonoa Mungu na yeye akiendelea kutustaajabu taratibu kwa vitu kama Wildfire's unavyozifi kuichoma misitu huko Duniani na Vimbunga vinavyozidi kuchachamaa huko Duniani .

Code imesomeka!
Mungu ni illusion tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom