INCUBATOR :

Rutatinisibwa

Senior Member
Joined
Aug 22, 2011
Posts
109
Reaction score
42
Tafadhali wadau ninaomba kupata elimu kuhusu aina ya Incubator inayotumia umeme iliyo nzuri maana nimeanza kutotolesha mayai kwa kutumia made made inayotumia mafuta ya taa lkn kuna changamoto ya usimamizi wa kugeuza mayai!

Nimeambiwa kwenye maonesho ya 77 zipo ila cjafanikiwa kufika lkn hata nikifika nimeonelea nipate maoni ya wadau hapa ili niende nikiwa na ka-ufahamu kdg!

Waitu mbakasinge!

By Rutatinisibwa
 
Mkuu achana na incubator za kienyeji, nakushauri tumia incubator za kisasa zenye kuaminika. Unahitaji incubator ya ukubwa gani?
 
Mkuu achana na incubator za kienyeji, nakushauri tumia incubator za kisasa zenye kuaminika. Unahitaji incubator ya ukubwa gani?
Asante Mkuu kwa ushauri mzuri! ....ya kutotolesha ka mayai 1,500 hivi
 
Mkuu habari umeisha pata Incubator kama bado tuwasiliane nipo dar ila popote tunakuja mashine zetu ni bei rahic 0764870930
 
Unataka kutotolesha kibiashara au kwajili ya kufuga mwenyewe? Kama kwajili ya kufuga mwenyewe achana na mashine kwanza efficient zake nyingi ni below 75% (japo wenyewe wanazisifia sana zionekana bora), na kwa huu umeme wa kipindi hiki utaumia tu.

Mi huwa natumia kuku wa kienyeji kutotolesha mayai ya chotara na nina uwezo kila mwezi kuingiza vifaranga vipya zaidi ya mia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…