peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,821
- 21,427
Kumbe ndo maana nchi imelegalega.hakuna kiongozi yeyote amejitokeza kuongelea kuhusu tozo,kupanda kwa vifaa vya ujenzi na wizi wa Mali za umma.yote haya ni kujaza wanawake ambao wengi wao hawana uwezo wa kuongoza
Sent using Jamii Forums mobile app