INBOX: Wanaume VS Wanawake

INBOX: Wanaume VS Wanawake

Nawe unataka haki sawa? Tunataka haki sawa sio wajibu sawa. Tofautisha hizo sshemeji.
Aaah, sasa mbona mnatushinikiza sisi tutimize wajibu wakati nyinyi wajibu wenu hatuutambui
 
Sasa mlitaka haki sawa zanini wakati hamuwezi kujihudumia?
sio kila mwanamke hawezi kujihudumia na mwenye hizo slave mentality za kutegemea mwanaume
halafu naona hiyo mentality ya wanawake kupenda misaada naona inawasaidia nyie kwa kuwa wasingetaka msaada msingeweza kuwatawala
 
sio kila mwanamke hawezi kujihudumia na mwenye hizo slave mentality za kutegemea mwanaume
halafu naona hiyo mentality ya wanawake kupenda misaada naona inawasaidia nyie kwa kuwa wasingetaka msaada msingeweza kuwatawala
Kwahiyo kumbe nyinyi mnataka kutawaliwa kumbe?
sasa utawala gani huo mnaotaka nyinyi ikiwa hamfuati yale tunayoyataka?
Mtu ukitaka game unazungushwa mwezi mzima na vijisababu visokuwa na mantiki
 
Kwahiyo kumbe nyinyi mnataka kutawaliwa kumbe?
sasa utawala gani huo mnaotaka nyinyi ikiwa hamfuati yale tunayoyataka?
Mtu ukitaka game unazungushwa mwezi mzima na vijisababu visokuwa na mantiki
Ukiona unazungushwa kupewa game inatakiwa ujiongeze, mbona wengine tunazifuata hata husubiri kuombwa?
 
Ukiona unazungushwa kupewa game inatakiwa ujiongeze, mbona wengine tunazifuata hata husubiri kuombwa?
Kwo hapo tatizo litakuwa hela au game weak?
 
Kwahiyo kumbe nyinyi mnataka kutawaliwa kumbe?
sasa utawala gani huo mnaotaka nyinyi ikiwa hamfuati yale tunayoyataka?
Mtu ukitaka game unazungushwa mwezi mzima na vijisababu visokuwa na mantiki
Sio mimi
 
Jamani wanaumeee mmeumbwa kutunza viumbe vyote duniani akiwemo mwanamke mbona mnalalamika sana jamani.hiyo ni kazi yenu
Si wote lakini

Huwezi kuwinda ukawinda mnyama dhaifu lazima uchague kitu kilichonona
 
Back
Top Bottom