Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,284
- 39,511
Kumwagia ndani raha sana maaninneeeerrrrr[emoji23]
Achana nae,usijihusishe kwenye dhambi isiyokuhusuHalafu ananishauri uwezekano wa kutoa. I told her, siwezi kushiriki kwenye dhambi kama hiyo, even though mimba sio ya kwangu.
Sasa ukiombwa pesa za xmass hutoi,,One month ago, nilidate na binti mmoja hivi..
When we met, alikuwa ndio kamaliza menstrual period yake.. yaani tuseme kamaliza jana halafu leo ndio kachezea mshedede. Na wakati namaliza show, kilitoka kibaki cha damu iliyoganda kuonyesha kuwa ni kweli menstrual ilikuwa imeisha.
Even before sijaomba game, alinambia nivute subira mpaka atakapomaliza period yake.
Leo baada ya mwezi mmoja, anakuja kunambia ana mimba yangu!
How can it be possible??
Kwamba kapata mimba baada ya menstrual? Kwamba siku zake za hatari zilikuwa karibu? Kwamba one month amekaa na mimba bila ya kunambia??
.
.
.
Na maswali mengine mengi.
Nikimuuliza kama alitoka na mtu before, anakataa!
Hivi huyu mwanamke yupo sawa kweli? Atamueleza mwanaume gani hilo suala akamuelewa?
Wapo thoe it's very rare cases. Huyo dada ana mzunguko mfupi. Na pia najua unajua kama sperm zinaweza kukaa ndani ya siku 3 zikiwa na uhai bado. Kwa mtu mwenye mzunguko mfupi siku ya 5/6 tayari medium chances za kupata ujazito zinakuwepo ukiplus na sperm ku'survive kwa sku 3 naa hutoboi hapo.Asa ndo apate mimba baada ya period
Wapo thoe it's very rare cases. Huyo dada ana mzunguko mfupi. Na pia najua unajua kama sperm zinaweza kukaa ndani ya siku 3 zikiwa na uhai bado. Kwa mtu mwenye mzunguko mfupi siku ya 5/6 tayari medium chances za kupata ujazito zinakuwepo ukiplus na sperm ku'survive kwa sku 3 naa hutoboi hapo.
Narudia kukwambia kwamba inawezekana, hiyo mimba ni yako unless dada awe anadanganyia akupige kibomu cha kununulia Miso
Sio kila mimba inakuja na kutapika or vichefuchefu, wengine awahisi kitu mpaka amiss period ndio ataanza kujishtukia.Yeah! Inawezekana ila ni very rare kama ulivyosema.. issue ni kwamba, mimba inaanza kuonyesha dalili after 2 weeks mtu anaanza kuhisi kichefuchefu na kutapika.
Kwanini asiseme muda wote huo mpaka mwezi mzima umefika? Ina maana alikuwa hajijui muda wote.
Nina uhakika kwa kiasi kikubwa sio yangu, by any means atakuwa ame cheat!
Hivi huu msemo wa "Kitanda hakizai haramu" unahusu hata vitanda vya lodge!!?Kitanda hakizai kharamu shekhe! Kwani ukimlea kuna tatizo gani mbona vidume wengine wanalea wakwako? 😄😄
Miso na P2 ni dawa rafiki sana kwa baadhi ya wanawake.Wapo thoe it's very rare cases. Huyo dada ana mzunguko mfupi. Na pia najua unajua kama sperm zinaweza kukaa ndani ya siku 3 zikiwa na uhai bado. Kwa mtu mwenye mzunguko mfupi siku ya 5/6 tayari medium chances za kupata ujazito zinakuwepo ukiplus na sperm ku'survive kwa sku 3 naa hutoboi hapo.
Narudia kukwambia kwamba inawezekana, hiyo mimba ni yako unless dada awe anadanganyia akupige kibomu cha kununulia Miso
Ndio. Hata vichaka havizai haramHivi huu msemo wa "Kitanda hakizai haramu" unahusu hata vitanda vya lodge!!?
Nauliza tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Yan mwana umeandika story yangu kabisa yan. Me ilibidi tupime kabisa tukakuta ni kweli ipo lkn stuation zake sikuelewa..Mwisho wa cku nikampa 50 kama msaada ajue atakachofanya yeye nkamwambia me cmo.
Alivofika kwao akanambia pesa haitoshi nimuongeze laki ndo nlipomwambia akome tena asinzoee. Akaanza kunitishia mara eti atanenda kunharibia kazini me nkawa cmjibu kitu mwisho akachoka akaniacha
By the way haitwi Aisha huyo? icje ikawa ndo huyo huyo tabia zake
Kumbe wapiga kavu kwa one night stand tupo bado. Ila kavu tamu aisee!Yan mwana umeandika story yangu kabisa yan. Me ilibidi tupime kabisa tukakuta ni kweli ipo lkn stuation zake sikuelewa..Mwisho wa cku nikampa 50 kama msaada ajue atakachofanya yeye nkamwambia me cmo.
Alivofika kwao akanambia pesa haitoshi nimuongeze laki ndo nlipomwambia akome tena asinzoee. Akaanza kunitishia mara eti atanenda kunharibia kazini me nkawa cmjibu kitu mwisho akachoka akaniacha
By the way haitwi Aisha huyo? icje ikawa ndo huyo huyo tabia zake
Kwangu sio rafiki, nilishawahi kuitumia ila ilinifanya vibaya. Sitaki nayo mazoeaMiso na P2 ni dawa rafiki sana kwa baadhi ya wanawake.
Kuna majanga nilipitia ikabidi miso ihitajike
Haya "mhenga"Ndio. Hata vichaka havizai haram
Hapana sikushiriki abortion mkuuKwangu sio rafiki, nilishawahi kuitumia ila ilinifanya vibaya. Sitaki nayo mazoea
Miso? Ulishiriki abortion wewe. Looh