MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,236
- 14,206
One month ago, nilidate na binti mmoja hivi..
When we met, alikuwa ndio kamaliza menstrual period yake.. yaani tuseme kamaliza jana halafu leo ndio kachezea mshedede. Na wakati namaliza show, kilitoka kibaki cha damu iliyoganda kuonyesha kuwa ni kweli menstrual ilikuwa imeisha.
Even before sijaomba game, alinambia nivute subira mpaka atakapomaliza period yake.
Leo baada ya mwezi mmoja, anakuja kunambia ana mimba yangu
How can it be possible??
Kwamba kapata mimba baada ya menstrual? Kwamba siku zake za hatari zilikuwa karibu? Kwamba one month amekaa na mimba bila ya kunambia?
Na maswali mengine mengi.
Nikimuuliza kama alitoka na mtu before, anakataa!
Hivi huyu mwanamke yupo sawa kweli? Atamueleza mwanaume gani hilo suala akamuelewa?
When we met, alikuwa ndio kamaliza menstrual period yake.. yaani tuseme kamaliza jana halafu leo ndio kachezea mshedede. Na wakati namaliza show, kilitoka kibaki cha damu iliyoganda kuonyesha kuwa ni kweli menstrual ilikuwa imeisha.
Even before sijaomba game, alinambia nivute subira mpaka atakapomaliza period yake.
Leo baada ya mwezi mmoja, anakuja kunambia ana mimba yangu
How can it be possible??
Kwamba kapata mimba baada ya menstrual? Kwamba siku zake za hatari zilikuwa karibu? Kwamba one month amekaa na mimba bila ya kunambia?
Na maswali mengine mengi.
Nikimuuliza kama alitoka na mtu before, anakataa!
Hivi huyu mwanamke yupo sawa kweli? Atamueleza mwanaume gani hilo suala akamuelewa?