ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,748
- 127,720
Naamini tatizo sio muhimbili kama taasisi, tatizo kubwa ni population ya wakazi wa Dar ukilinganisha na idadi ya hospitali zilizopo.
Kwa sasa, hata uboreshe vipi muhimbili, temeke, amana na mwananyamala, bado huwezi ku accommodate wananchi wa jiji coz jiji limezidiwa katika mambo mengi.
Kama jiji lilikuwa designed kwa wakazi 2m na leo lina zaidi ya mara mbili ya watu, usitegemee kuwa kuna miundombinu itakayostahamili, sio barabara, maji wala afya.
Ijengwe hospitali nyingine pwani, yenye hadhi zaidi ya muhimbili ili kugawanya idadi ya wagonjwa wa jiji na wale wanaokuja kwa rufaa toka mikoa mingine. Otherwise tutafanya ziara za kushtukiza bila mafanikio yoyote.
Kwa sasa, hata uboreshe vipi muhimbili, temeke, amana na mwananyamala, bado huwezi ku accommodate wananchi wa jiji coz jiji limezidiwa katika mambo mengi.
Kama jiji lilikuwa designed kwa wakazi 2m na leo lina zaidi ya mara mbili ya watu, usitegemee kuwa kuna miundombinu itakayostahamili, sio barabara, maji wala afya.
Ijengwe hospitali nyingine pwani, yenye hadhi zaidi ya muhimbili ili kugawanya idadi ya wagonjwa wa jiji na wale wanaokuja kwa rufaa toka mikoa mingine. Otherwise tutafanya ziara za kushtukiza bila mafanikio yoyote.