Haiwezekani cut point ni kwanzia 3.5 navyojua au angalia TCU guideline utapata majibuHivi inawezekana mtu kusoma MD vyuo vya Tz kwa gpa below 3 kutoka diploma.? Kuna rumors naskia watu wanasoma,,,,,sasa kuna dogo namuulizia anataka kusoma na ana gpa below 3
Wanasoma kwa michongo! Guidelines kwa vyuo vyote vya serikali ni 3.0Tcu imeandika ni 3.0
Lakini naskia watu wanasoma below ya hapo,ndio ninaulizia kama hii issue ni kweli wapo wanaosoma.?
Minimum requirement ni 3, huyo hasomi ila kuna namna, hii nchi haishindwi jambo.Hivi inawezekana mtu kusoma MD vyuo vya Tz kwa gpa below 3 kutoka diploma? Kuna rumors naskia watu wanasoma, sasa kuna dogo namuulizia anataka kusoma na ana GPA below 3
Iyo michongo ndo inawafanya wagonjwa wabaki na viwembe kwenye tumbo baada ya operationWanasoma kwa michongo! Guidelines kwa vyuo vyote vya serikali ni 3.0
Watu wanasoma Uganda,Russia,India etc ila sio TanzaniaHivi inawezekana mtu kusoma MD vyuo vya Tz kwa gpa below 3 kutoka diploma? Kuna rumors naskia watu wanasoma, sasa kuna dogo namuulizia anataka kusoma na ana GPA below 3
Vitu vingine usiulize, nenda TCU guide, angalia kipengele cha Other equivalent qualifications, kila kitu kipo humo.Hivi inawezekana mtu kusoma MD vyuo vya Tz kwa gpa below 3 kutoka diploma? Kuna rumors naskia watu wanasoma, sasa kuna dogo namuulizia anataka kusoma na ana GPA below 3
Inawezekana, cha msingi nenda Open University kafanye kozi ya Foundation ndo inayotambuliwa na TCU kwa ajili ya ku'upgrade GPA yako upate 3 or above ...then ndo utaweza kuwa eligible kusoma unachotaka kusomea ila MD kibongo bongo ina competition kubwa mno labda uende abroad kusomea!Hivi inawezekana mtu kusoma MD vyuo vya Tz kwa gpa below 3 kutoka diploma? Kuna rumors naskia watu wanasoma, sasa kuna dogo namuulizia anataka kusoma na ana GPA below 3
Ukirudi nani ataitambua?Watu wanasoma Uganda,Russia,India etc ila sio Tanzania
Inawezekana, cha msingi nenda Open University kafanye kozi ya Foundation ndo inayotambuliwa na TCU kwa ajili ya ku'upgrade GPA yako upate 3 or above ...then ndo utaweza kuwa eligible kusoma unachotaka kusomea ila MD kibongo bongo ina competition kubwa mno labda uende abroad kusomea!
Haiwezekani, ili kuepuka usumbufu achaHivi inawezekana mtu kusoma MD vyuo vya Tz kwa gpa below 3 kutoka diploma? Kuna rumors naskia watu wanasoma, sasa kuna dogo namuulizia anataka kusoma na ana GPA below 3
Hebu tuliza mawazo kdg mkuu, nimesema nenda Open university kasome Foundation course kwa ajili ya ku'upgrade GPA, then ndo utaweza kusoma hiyo MD utaingia kama equivalent student ikiwa pamoja na diploma yako yenye less GPAKwani open university wanatoa kozi ya clinical Officer.?????
Hebu tuliza mawazo kdg mkuu, nimesema nenda Open university kasome Foundation course kwa ajili ya ku'upgrade GPA, then ndo utaweza kusoma hiyo MD utaingia kama equivalent student ikiwa pamoja na diploma yako yenye less GPA
Ki'Google hicho chuo mkuu, utapata details za kutoshaNinachouliza ni kwamba open university wanatoa program ya diploma ya udaktari.???? Maana sina detais na hiko chuo
Mkuu hata vyuo binafsi lazima wapeleke tcu majina yote ya walio omba for verification kwa walio chaguliwa kama wanastahili au la. Hivyo kudahili ambae hana sifa si rahisi.Vitu vingine usiulize, nenda TCU guide, angalia kipengele cha Other equivalent qualifications, kila kitu kipo humo.
ANGALIZO: Ukienda vyuo vya binafsi wanaweza wakakua-admit na GPA "yoyote" at your detriment. How? Utasoma utamaliza, then akitokea mtu akakuchongea kuwa you had no qualification to get admitted at a medical school with that GPA contrary to TCU specification, then.... vyeti fake vinakuhusu.
Thanks a lot for clarification... nasema labda TCU wakipitiwa au huyo anayeratibu verification akipitiwa, then....... uko mbeleni will cost you dearly!Mkuu hata vyuo binafsi lazima wapeleke tcu majina yote ya walio omba for verification kwa walio chaguliwa kama wanastahili au la. Hivyo kudahili ambae hana sifa si rahisi.
Yaan unajiita geneous lakini elewa wako uko chini hivi regardless jamaa alivyokufafanulia, nakushauri achana na udaktari mapema mkuu kabla hujapoteza muda na fedha zako.Ninachouliza ni kwamba open university wanatoa program ya diploma ya udaktari.???? Maana sina detais na hiko chuo
Hapo SasaUkirudi nani ataitambua?