mchorazombie
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 282
- 114
Kaendelee kulala ndoto yako bado haijaisha#
Kwan kuna ubaya gan mi kutaka kujua, if a woman can love more of a husband than a kid? Nataka kujua tuu, km limekuchoma just shut ur f**k up!!
Vile unalazmisha tujb ni hv,nitamwambia aue mume mana wanaume wapo tu ila mtoto unaweza kuta umepewa huyohuyo.nadhani umeridhika mkuu.hivyo amua uoe au uache.
Lol! Jamani naona sipati majibu straight why? Wanaume wenzangu najua linaumiza hili coz kikawaida ndoa zetu za kisasa lazima utapigwa chini wewe.. Na wanawake nahisi wanaogopa kujibu ukweli..
Kumbe unajua braza mm ka mm nakutaja
Too childish
Hapo sasa tupo pamoja, sio kumung'unya maneno tuu..!! Ila mimi nadhani nitabaki nawewe coz mtoto tutampata mwingine!!
Mm hapana watoto wamekuwa mbinde sana nikimtoa afu nisipopata mwingine je? .... nyie hamkawii kuoa mke wa pili akuzalie mtoto na kutelekeza ....... afu mtoto ni malaika hana kosa bora ww umeshaujua ulimwengu.n iiiiih wakuue tu
mume afe
Salamu ndugu zangu.Mimi ni mwanaume, 28 yrs, nategemea kuoa mida ikifika.
Swali: Ukiwa kama mke wa mtu, una mtoto au watoto, akatokea jambazi au lolote jitu, ikawa amri uchague kati ya mmeo au mtoto mmoja wapo auawe na wawili mpone utachagua nani kumtoa sadaka; mme au mtoto.
Nawasilisha.
Burtons mi hoi hapa kila nikirudia kuisoma hiyo topic yake,nafkr unaelewa ninachocheka.I wish angetupia na picha yake ili tucheke zaidi.Some ppo are born to others happy,its a talent!Mtoa post sasa weweeeeeee dah anyway utachagua mwenywe ikikutokea maaana kuna vitu vya msingi vya kuomba ushauri lakini sio hili aya bhana nikutakie ndoa njemaa