Inauma sana nahaivumiliki

anakula raha au anataabika?

kwani kilichomfanya aolewe ni nini? kama anakikosa, then
anaweza akasepa......kama anapata......no problem bana enhee,
hela ni nini mbele ya kitu natural?
 
Habarini za leo mmu,

Hivi hii tabia chafu ya wanaume unakuta mtu ameoa mke wake cha ajabu yule mwanamke ndio anamlisha,mke akijifungua gharama zote juu ya mwanke uzazi mwanamume hachangii hata thumuni. Chakula cha familia ni mama majumu yote ndani mumba ni mke ada za shule ni mama mwanaume hana mamchango hata kumi, halafu mwanaume anajidai ana mamlaka jùu yako hivi hiyo ni haki au ni unyanyasaji.

Hayo ndio maisha mdogo wbngu anaishi inaniuma mume wake ni mlevi wa kupindukia hela zake ni kwenye bia na kitimoto anapenda kula kama nini hayawahi kumnulia mkewe wala watoto wake chochote zaidi ya kujidai yeye ni bac inauma jamani kweli yaani mwanao hadi anaingiza 10 hujawahi mnunulia chochote jamani ina kera mkeanakusia unakubali.

Tpuuuuuuu namalizia kwakuwatema mate minaume ya sampuli hiyo. Haa aa hata mabinti wanaume wananafuu kwanza kwa mwenyezi mungu hiyo dhambi, unaishi kwenye nyumba ya mkeo baeo anakulisha na kukuzvisha mtumzhma nakazi unafanya? Lol aibu jamani wanaume msiwatendee hivyo wake zentu.


0
WEWE UME WAKO YUKOJE...!!?? AU WEWE NDIO WALE MNAOZUNGUKIA NYUMBA ZA MASHEMEJI ZENU KUPATA UDAKU NA KUWAFUNDISHA DADAZENU NAMNA YA KUWACHUNA SHEMEJI ZENU,ILI NA NYIE MPATE KUBADILISHA MAPIGO?? MTAFUTE NA WEWE MUMEO UMPELEKE UTAKAVYO..nalog off
 
Khaaaa ! Acha kuingilia ndoa za watu, vipi kuhusu yako ? Yawezekana wewe familia yako nayo inakuvumilia tu. Kama dada yako angeona huyo mwanaume hafai angeamua kumtoroka.
 
Hii imekaa kichuki binafsi sana. Maisha ni kusaidiana kati ya mume na mke. Nahisi wewe hujaolewa ndio maana hujui maana ya kile kiapo cha kusaidiana katika shida na raha. Tofautisha kati ya mume na buzi au mume na boi frendi.

Ehee tuambie wewe huyo mume wako unamsaidia au ndio umemgeuza ATM. Kimsingi umewadhalilisha wanawake wengi sana kwa huu upuuzi uliopost. Siungi mkono wanawake wanaodhani cashflow ni one direction na wanaofuatilia ndani ya nyumba za wenzao kujua muwe kanunua nini, katoa shs ngapi....


hivi wewe unajua hujui ulichokiandika? kama ni mwanaume basi wewe mwanaume kama binti, mwanaume gani usiye na akili huko ndio kusaidiana au kwavile ulishazoea kuchuna wanawake, inaelekea hii mada imekugusa kwavile ndivyoulivyo mschsiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iifuuuuuuuuuuuuu!
 
WEWE UME WAKO YUKOJE...!!?? AU WEWE NDIO WALE MNAOZUNGUKIA NYUMBA ZA MASHEMEJI ZENU KUPATA UDAKU NA KUWAFUNDISHA DADAZENU NAMNA YA KUWACHUNA SHEMEJI ZENU,ILI NA NYIE MPATE KUBADILISHA MAPIGO?? MTAFUTE NA WEWE MUMEO UMPELEKE UTAKAVYO..nalog off

wee koma nina mume bombaa sio kama wewe gume gume
 
duu naonea huruma cna huyo dada coz yule mwanaume ni gumegume ila huyo dada amuombe cna mungu atamsaidia
 
Mwenzio anataka wa kuuzia nae sura! Wamevumiliana 10 yrs,sasa imekuaje tena?
Muambie alee bibie huyo, na ampe cash manake na small house inahitaji matunzo,lol
Huyo siyo mwanaume ndugu yangu... Ujue kuna tofauti kati ya mwanaume na wakiume...mwambie mdogo wako aachane nae! Mwanaume suruali wa nini huyo?
 
Habarini za leo mmu,

Hivi hii tabia chafu ya wanaume unakuta mtu ameoa mke wake cha ajabu yule mwanamke ndio anamlisha,mke akijifungua gharama zote juu ya mwanke uzazi mwanamume hachangii hata thumuni. Chakula cha familia ni mama majumu yote ndani mumba ni mke ada za shule ni mama mwanaume hana mamchango hata kumi, halafu mwanaume anajidai ana mamlaka jùu yako hivi hiyo ni haki au ni unyanyasaji.

Hayo ndio maisha mdogo wbngu anaishi inaniuma mume wake ni mlevi wa kupindukia hela zake ni kwenye bia na kitimoto anapenda kula kama nini hayawahi kumnulia mkewe wala watoto wake chochote zaidi ya kujidai yeye ni bac inauma jamani kweli yaani mwanao hadi anaingiza 10 hujawahi mnunulia chochote jamani ina kera mkeanakusia unakubali.

Tpuuuuuuu namalizia kwakuwatema mate minaume ya sampuli hiyo. Haa aa hata mabinti wanaume wananafuu kwanza kwa mwenyezi mungu hiyo dhambi, unaishi kwenye nyumba ya mkeo baeo anakulisha na kukuzvisha mtumzhma nakazi unafanya? Lol aibu jamani wanaume msiwatendee hivyo wake zentu.


0
mkiambiwa mkae nyumbani na msifanye kazi mna'andamana ! Sasa mkichukua kazi za wanaume, wao wafanye nini, zaidi ya 'kuchochea'
 
hivi wewe unajua hujui ulichokiandika? kama ni mwanaume basi wewe mwanaume kama binti, mwanaume gani usiye na akili huko ndio kusaidiana au kwavile ulishazoea kuchuna wanawake, inaelekea hii mada imekugusa kwavile ndivyoulivyo mschsiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iifuuuuuuuuuuuuu!

wewe unakula bangi....
 
hivi wewe unajua hujui ulichokiandika? kama ni mwanaume basi wewe mwanaume kama binti, mwanaume gani usiye na akili huko ndio kusaidiana au kwavile ulishazoea kuchuna wanawake, inaelekea hii mada imekugusa kwavile ndivyoulivyo mschsiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iifuuuuuuuuuuuuu!

maisha ni kusadiana lakini kila kitu ukimwachia mke wako lazima atakudharau yaani hapo msamiati wa heshima uusahau kabisa
 
nimemwambia amueleze mumewe anadai anamwambiaga
kila siku mumewe anamwambia hana hela, nimemshauri asafiri anadai akirudi atakuta watoto waekufa na njaa baba yao hawajali kwa mlo wala kwa lolote

yaani hata sijui maana mapenzi yao hakua ya urafiki yalibezi kwenye kufunga ndoa walivyoona siye hatukujua yanayoendele huko nadani kwao hawajawahiyalibezi
kwe nye upendo hadi sasa hivi ndio amechoka kumlea anatoboa rsiri hiuzo, ila hapendi mumewe ajue hama
tunajua
\


Kwa maelezo yako, huyo mdogo wako kafika/fikishwa Kigoma mwisho wa reli...kadata sana wala si utani..Kwa bahati mbaya kilichomdatisha wewe huwezi kukijua na wala nakuomba usitake kuchunguza chunguza msije anza ligi ya kumlea baba wa watu!

Watu wana mtoto wa 10 halafu unadai mdogo wako anateseka??? Hayo ni maneno yako tu.., mwenzio haoni wala hasikii!

Nakuomba uwe mwangalifu sana ili usije kununua kesi bure!!
 
\


Kwa maelezo yako, huyo mdogo wako kafika/fikishwa Kigoma mwisho wa reli...kadata sana wala si utani..Kwa bahati mbaya kilichomdatisha wewe huwezi kukijua na wala nakuomba usitake kuchunguza chunguza msije anza ligi ya kumlea baba wa watu!

Watu wana mtoto wa 10 halafu unadai mdogo wako anateseka??? Hayo ni maneno yako tu.., mwenzio haoni wala hasikii!

Nakuomba uwe mwangalifu sana ili usije kununua kesi bure!!
miaka 10 ya mateso kweli anayo
 
Sio rahisi kiivo...ngoja nitafute makande kwanza.
Mwenzio anataka wa kuuzia nae sura! Wamevumiliana 10 yrs,sasa imekuaje tena?
Muambie alee bibie huyo, na ampe cash manake na small house inahitaji matunzo,lol
 
maisha ni kusadiana lakini kila kitu ukimwachia mke wako lazima atakudharau yaani hapo msamiati wa heshima uusahau kabisa
nimemshauri aifukuzie mbali hiyo ni balaa bora ikapange nyumcba au njemba hilo lirudi
kwao
 
kweli Chauro,kesi kama hizi zimekuwa nyingi sana nawa daizi.
sijui tatizo ni nini

Daughter wanaume wamekuwa adimu kutokana na kufifia kwa kile kinachoitwa na akina mama kuwa ni mfumo dume. Nadhani kwa sasa ni mfumo jike unaoshika kasi na matokeo yake kuna wanaume wenye akili za kike kike wengi mitaani. Wewe mwanaume gani mwenye uwezo wa kufanya kazi atakubali kulishwa na mwanamke aliyejifungua na wala haoni aibu? Fo.>"/@%$*...sh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom