Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,031
- 760
anakula raha au anataabika?
kwani kilichomfanya aolewe ni nini? kama anakikosa, then
anaweza akasepa......kama anapata......no problem bana enhee,
hela ni nini mbele ya kitu natural?
anakula raha au anataabika?
WEWE UME WAKO YUKOJE...!!?? AU WEWE NDIO WALE MNAOZUNGUKIA NYUMBA ZA MASHEMEJI ZENU KUPATA UDAKU NA KUWAFUNDISHA DADAZENU NAMNA YA KUWACHUNA SHEMEJI ZENU,ILI NA NYIE MPATE KUBADILISHA MAPIGO?? MTAFUTE NA WEWE MUMEO UMPELEKE UTAKAVYO..nalog offHabarini za leo mmu,
Hivi hii tabia chafu ya wanaume unakuta mtu ameoa mke wake cha ajabu yule mwanamke ndio anamlisha,mke akijifungua gharama zote juu ya mwanke uzazi mwanamume hachangii hata thumuni. Chakula cha familia ni mama majumu yote ndani mumba ni mke ada za shule ni mama mwanaume hana mamchango hata kumi, halafu mwanaume anajidai ana mamlaka jùu yako hivi hiyo ni haki au ni unyanyasaji.
Hayo ndio maisha mdogo wbngu anaishi inaniuma mume wake ni mlevi wa kupindukia hela zake ni kwenye bia na kitimoto anapenda kula kama nini hayawahi kumnulia mkewe wala watoto wake chochote zaidi ya kujidai yeye ni bac inauma jamani kweli yaani mwanao hadi anaingiza 10 hujawahi mnunulia chochote jamani ina kera mkeanakusia unakubali.
Tpuuuuuuu namalizia kwakuwatema mate minaume ya sampuli hiyo. Haa aa hata mabinti wanaume wananafuu kwanza kwa mwenyezi mungu hiyo dhambi, unaishi kwenye nyumba ya mkeo baeo anakulisha na kukuzvisha mtumzhma nakazi unafanya? Lol aibu jamani wanaume msiwatendee hivyo wake zentu.
0
Hii imekaa kichuki binafsi sana. Maisha ni kusaidiana kati ya mume na mke. Nahisi wewe hujaolewa ndio maana hujui maana ya kile kiapo cha kusaidiana katika shida na raha. Tofautisha kati ya mume na buzi au mume na boi frendi.
Ehee tuambie wewe huyo mume wako unamsaidia au ndio umemgeuza ATM. Kimsingi umewadhalilisha wanawake wengi sana kwa huu upuuzi uliopost. Siungi mkono wanawake wanaodhani cashflow ni one direction na wanaofuatilia ndani ya nyumba za wenzao kujua muwe kanunua nini, katoa shs ngapi....
WEWE UME WAKO YUKOJE...!!?? AU WEWE NDIO WALE MNAOZUNGUKIA NYUMBA ZA MASHEMEJI ZENU KUPATA UDAKU NA KUWAFUNDISHA DADAZENU NAMNA YA KUWACHUNA SHEMEJI ZENU,ILI NA NYIE MPATE KUBADILISHA MAPIGO?? MTAFUTE NA WEWE MUMEO UMPELEKE UTAKAVYO..nalog off
Huyo siyo mwanaume ndugu yangu... Ujue kuna tofauti kati ya mwanaume na wakiume...mwambie mdogo wako aachane nae! Mwanaume suruali wa nini huyo?
mkiambiwa mkae nyumbani na msifanye kazi mna'andamana ! Sasa mkichukua kazi za wanaume, wao wafanye nini, zaidi ya 'kuchochea'Habarini za leo mmu,
Hivi hii tabia chafu ya wanaume unakuta mtu ameoa mke wake cha ajabu yule mwanamke ndio anamlisha,mke akijifungua gharama zote juu ya mwanke uzazi mwanamume hachangii hata thumuni. Chakula cha familia ni mama majumu yote ndani mumba ni mke ada za shule ni mama mwanaume hana mamchango hata kumi, halafu mwanaume anajidai ana mamlaka jùu yako hivi hiyo ni haki au ni unyanyasaji.
Hayo ndio maisha mdogo wbngu anaishi inaniuma mume wake ni mlevi wa kupindukia hela zake ni kwenye bia na kitimoto anapenda kula kama nini hayawahi kumnulia mkewe wala watoto wake chochote zaidi ya kujidai yeye ni bac inauma jamani kweli yaani mwanao hadi anaingiza 10 hujawahi mnunulia chochote jamani ina kera mkeanakusia unakubali.
Tpuuuuuuu namalizia kwakuwatema mate minaume ya sampuli hiyo. Haa aa hata mabinti wanaume wananafuu kwanza kwa mwenyezi mungu hiyo dhambi, unaishi kwenye nyumba ya mkeo baeo anakulisha na kukuzvisha mtumzhma nakazi unafanya? Lol aibu jamani wanaume msiwatendee hivyo wake zentu.
0
hivi wewe unajua hujui ulichokiandika? kama ni mwanaume basi wewe mwanaume kama binti, mwanaume gani usiye na akili huko ndio kusaidiana au kwavile ulishazoea kuchuna wanawake, inaelekea hii mada imekugusa kwavile ndivyoulivyo mschsiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iifuuuuuuuuuuuuu!
hivi wewe unajua hujui ulichokiandika? kama ni mwanaume basi wewe mwanaume kama binti, mwanaume gani usiye na akili huko ndio kusaidiana au kwavile ulishazoea kuchuna wanawake, inaelekea hii mada imekugusa kwavile ndivyoulivyo mschsiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iifuuuuuuuuuuuuu!
nimemwambia amueleze mumewe anadai anamwambiaga
kila siku mumewe anamwambia hana hela, nimemshauri asafiri anadai akirudi atakuta watoto waekufa na njaa baba yao hawajali kwa mlo wala kwa lolote
\yaani hata sijui maana mapenzi yao hakua ya urafiki yalibezi kwenye kufunga ndoa walivyoona siye hatukujua yanayoendele huko nadani kwao hawajawahiyalibezi
kwe nye upendo hadi sasa hivi ndio amechoka kumlea anatoboa rsiri hiuzo, ila hapendi mumewe ajue hama
tunajua
miaka 10 ya mateso kweli anayo\
Kwa maelezo yako, huyo mdogo wako kafika/fikishwa Kigoma mwisho wa reli...kadata sana wala si utani..Kwa bahati mbaya kilichomdatisha wewe huwezi kukijua na wala nakuomba usitake kuchunguza chunguza msije anza ligi ya kumlea baba wa watu!
Watu wana mtoto wa 10 halafu unadai mdogo wako anateseka??? Hayo ni maneno yako tu.., mwenzio haoni wala hasikii!
Nakuomba uwe mwangalifu sana ili usije kununua kesi bure!!
Mwenzio anataka wa kuuzia nae sura! Wamevumiliana 10 yrs,sasa imekuaje tena?
Muambie alee bibie huyo, na ampe cash manake na small house inahitaji matunzo,lol
igweeeeeeeeeeeeeeeeeeesasa si umwambie huyo mume wa huyo mdogo wako,kitu kina kuuma halafu hauchukui hatua yoyote kunusuru
kweli Chauro,kesi kama hizi zimekuwa nyingi sana nawa daizi.
sijui tatizo ni nini