yaani hata sijui maana mapenzi yao hakua ya urafiki yalibezi kwenye kufunga ndoa walivyoona siye hatukujua yanayoendele huko nadani kwao hawajawahiyalibezi
kwe nye upendo hadi sasa hivi ndio amechoka kumlea anatoboa rsiri hiuzo, ila hapendi mumewe ajue hama
tunajua
anakula raha au anataabika?
yaani hata sijui maana mapenzi yao hakua ya urafiki yalibezi kwenye kufunga ndoa walivyoona siye hatukujua yanayoendele huko nadani kwao hawajawahiyalibezi
kwe nye upendo hadi sasa hivi ndio amechoka kumlea anatoboa rsiri hiuzo, ila hapendi mumewe ajue hama
tunajua
Malezi tunayowalea tunawaacha vijana wetu wanakimbizana na cartoon za Ben Ten, Tom and Jerry unafikiri akiwa mkubwa ataweza kukimbizana na pesa.dunia na vituko vyake mpe pole mdogo wako..........
kuna kitu sikielewi mbona idadi ya wanaume wa sampuli hii wameongezeka sana tatizo ni nini?
Kabla ya ndoa alikuaje???
Usikute alikua hivyo hivyo mdogo wako akadhani wakiingia ndoani ndo mwanaume ataanza kufungua pochi.
Watu wengine hua wanalalamikia vitu ambavyo waliviona na kuvipuuza tangu mwanzo baadae kabisa...unakuta mtu anamlaumu mwenzake wakati alikumkubali kama alivyokua huku akitegemea mabadiliko ambayo hakuahidiwa.
Mpe pole mdogo wako...aendelee tu kulea wanawe maana hata akiacha hatokua anamkomoa mume.
jamani wadada, kwenye ile sredi nyingine si mlikuwa mnaapa pesa si tatizo, labda kaka hana hela, kazidiwa na mkewe afanyeje?
Kumbe huwa mnachangia sredi kwa swaga sio ukweli.
Habarini za leo mmu,
Hivi hii tabia chafu ya wanaume unakuta mtu ameoa mke wake cha ajabu yule mwanamke ndio anamlisha,mke akijifungua gharama zote juu ya mwanke uzazi mwanamume hachangii hata thumuni. Chakula cha familia ni mama majumu yote ndani mumba ni mke ada za shule ni mama mwanaume hana mamchango hata kumi, halafu mwanaume anajidai ana mamlaka jùu yako hivi hiyo ni haki au ni unyanyasaji.
Hayo ndio maisha mdogo wbngu anaishi inaniuma mume wake ni mlevi wa kupindukia hela zake ni kwenye bia na kitimoto anapenda kula kama nini hayawahi kumnulia mkewe wala watoto wake chochote zaidi ya kujidai yeye ni bac inauma jamani kweli yaani mwanao hadi anaingiza 10 hujawahi mnunulia chochote jamani ina kera mkeanakusia unakubali.
Tpuuuuuuu namalizia kwakuwatema mate minaume ya sampuli hiyo. Haa aa hata mabinti wanaume wananafuu kwanza kwa mwenyezi mungu hiyo dhambi, unaishi kwenye nyumba ya mkeo baeo anakulisha na kukuzvisha mtumzhma nakazi unafanya? Lol aibu jamani wanaume msiwatendee hivyo wake zentu.
0