Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,950
- 183,444
Kuna mtu ataolewa nawe atambe kapata mume, mzunguko ni ule ule.[emoji134][emoji134][emoji134]Kweli kabisa 100%. Kuna mabinti wa chuo fulani niliwaoa mara tatu ndani ya 4yrs! Halafu wote watatu ni walokole wa kulala na bible kitandani.
Kwanza anaingia na bible na kulala nayo kitandani, akienda likizo akarudi semester ya pili inahamia mezani, semester ya tatu bible inahamia kwenye begi, baada ya hapo akienda likizo bible na ulokole vyote anaviacha huko.
Mbaya zaidi kila niliyeachana naye aliolewa kwa bwana mwingine ndani ya mwezi mmoja tu! Halafu muda wote michepuko na madanga walikuwa nayo ya kuwatosha.
Mmoja nilishika simu yake na kugundua ni kocha wa wachoropoa mimba wa kwao! Yaani mabinti kibao wa mtaani kwao wanamuomba awaelekeze namna ya kutoa mimba, anawatiririkia maelekezo kama vile ni daktari bingwa wa hilo zoezi. Halafu ukicheki binti mwenyewe mlokole hatari, kila wakati ananilaumu kwamba nimemuingiza dhambini nikawa namcheki tu nasema hiiiiiiiiiiii!
Leo hii mtu anaoa anatamba kaopoa msomi, mabaharia tunawachora tu.
Hakuna alie msafi, kama yupo awe wa kwanza kunyoosha kidole.