INAUMA JIFANYE HUJUI ,MKE MSOMI YUKOJE?

INAUMA JIFANYE HUJUI ,MKE MSOMI YUKOJE?

Mambo Kama haya mnayafanya yaonekane yanaumiza kichwa lakini kiuhalisia hayaumizi kichwa. Magari tunanunua used na kupeta nayo tena Kiya mbele ijekuwa papuch tena ambayo haina odometer?
 
Dah! Yaani huu ukweli unatuuma karibia 95% ya wanaume.

Mwanamke aliyepitia chuo, amini usiamini atakuwa amepitia ndoa zisizopungua 5 hadi kumaliza. Tena maisha ya kuishi kama mke na mume! Alafu kuachana nje nje! Ukizingua kidogo ndoa hiyo imekauka!

Ukiyachunguza maisha ya chuo, huwezi kuoa ke aliyepitia chuo.
 
Tuliopitia maisha ya shule za bweni tunajua .
Binti anaingia boarding ya me /ke
Akiwa form two anapata mume wake wa kidato cha tatu ,yule mume au boy friend akimaliza form 4 anapata mume mume mwingine, hadi naye binti anamaliza form 4
Akimaliza secondary wengi wanaenda vyuo kwani high school anashindwa automatically kwa tabia hizo
Akifika chuo anaanza na dume lingine
Hadi anamaliza ,chuo hakosi midume mitatu .
Akimaliza chuo anapata ajira ,sasa akiolewa ,na ww hesabu we mume wa ngapi?
Ukweli binti wa shule ,unakuja kuoa ,mke wa wenzako,
Ushauri ,ukimuoa acha wivu ,wenzio walishapita sana,we jari maendeleo na maisha ya baadaye.
Lakini bado kuna wapumbavu wanajiua kwa madem wa aina hiyo.

AHSANTE MTOA MADA. UJUMBE MURUA KABISA.
 
Wanaume ndio sisi sisi. Tunaofukunyua toka form 3. Vyuoni ndio sisi sisi tunagonga. Kazini ndio sisi sisi tunaparamia. Hata kuoa tutaoa sisi. Hakuna wanaume wanao toka mwezini kuja kufanya huo upupu ndio sisi wenyewe
Umenena vyema. Mnavuna mlichokipanda!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wa mwalo upi??
Pale Nansio-Ukerewe. Wapo wale wanaooga uchi ziwani pamoja na vidume. Wamekaa kibaharia sana, safi kabisa. Hawajui hata chuo ndo nini
 
Inasemekana wanatumia nyuma kulinda mbele, akili kumkichwa
Kuna mumomonyoko wa maadili takwimu zinasema kwa hapa Tz Pemba hadi binti wa miaka 20 wapo mabikra asilimia60


Nchi za Asia mabinti wengi ni mabikra pamoja na kuwa badobwako vyuo vikuu

Africa mabikra ni shida kweli !! Pamoja na kuwa watu hususa mabinti wengi eti wameokoka tangia form 1
 
Tuliopitia maisha ya shule za bweni tunajua .
Binti anaingia boarding ya me /ke

Akiwa form two anapata mume wake wa kidato cha tatu ,yule mume au boy friend akimaliza form 4 anapata mume mume mwingine, hadi naye binti anamaliza form 4

Akimaliza secondary wengi wanaenda vyuo kwani high school anashindwa automatically kwa tabia hizo

Akifika chuo anaanza na dume lingine
Hadi anamaliza ,chuo hakosi midume mitatu .

Akimaliza chuo anapata ajira ,sasa akiolewa ,na ww hesabu we mume wa ngapi?

Ukweli binti wa shule ,unakuja kuoa ,mke wa wenzako,

Ushauri ,ukimuoa acha wivu ,wenzio walishapita sana,we jari maendeleo na maisha ya baadaye.
Cha kuongezea hapo na akiwa kazini atakuaga anakwenda semina napo watammega tena.
 
Back
Top Bottom