Inatosha - Lowassa Jiuzulu!

Inatosha - Lowassa Jiuzulu!

Kuna Watu Wakishalewa Mvinyo Huwa Wanajidanganya Kuwa Kuiba Mali Ya Uma Siyo Dhambi, Basi Aminini Nawaambia Hakuna Aliye Na Dhambi Kuu Kama Ilieibia Uma Au Jumuiya Maana Atakuwa Ametesa Roho Nyingi Za Mungu Hivyo Adhabu Yake Ni Kubwa Mno Mbele Za Mungu Na Wala Hataiepuka Adhabu Duniani
 
Kuna Watu Wanajidanganya Kuwa Adhabu Yao Itakuja Baada Ya Wao Kuaga Dunia,aminini Nawaambia, Hakuna Adhabu Yoyote Baada Ya Mtu Kufa, Mungu Hutekeleza Adhabu Ya Mtu Duniani Tu Na Hakuna Njia Yoyote Huiepuka Adhabu, Na Kama Hamuamini Mtaona Yatakayompata Mkapa Anachokifanya Sasa Hivi Ni Yeye Tu Anajaribu Kuichelewesha Adhabu Yake Lakini Ni Lazima Itatekelezwa Akiwa Hai Ili Aishuhudie Mwenyewe
 
Muoneni Karamagi, Japokuwa Yeye Anahisi Yuko Salama,amini Nawaambia, Kwa Kuwa Alitenda Dhambi Kwa Uma Wa Watanzania, Basi Adhabu Yake Ni Kubwa Kuliko Jambazi Aliyeua Mtu Mmoja Na Ni Lazima Ataishuhudia Kabla Ya Kuiaga Dunia Hii
 
Kikwete Kwa Kuwa Una Roho Na Unajitambua Mwenyewe Mambo Uliyokwisha Kuyafanya Na Kwa Kuwa Mungu Amekujalia Wadhfa Wa Kuwatawala Watanzania, Fanya Hivi, Hakikisha Mali Yoyote Uliyoipata Kwa Njia Ambayo Unafikiri Siyo Halali, Iwe Ni Ulipewa Kwa Kuhongwa Ama Vyovyote Vile Pls Naomba Irudishe Kwa Watanzania Tena Fanya Hivyo Kimya Bila Ya Mtu Yeyote Kujua Wewe Na Roho Yako Tu Na Kuna Namna Nyingi Za Kurudisha, Unaweza Ukaitoa Kwa Yatima, Au Wagonjwa, Au Vilema, Au Wajane Ili Mradi Tu Uhakikishe Haiko Mikononi Mwako, Na Baada Ya Kufanya Hivyo Utubu Mbele Ya Mungu Wako Baada Ya Kufanya Hivyo Amini Nakuambia Utasamehewa Maana Litakalofungwa Duniani Na Mbinguni Limefungwa Sasa Ukishajua Ya Kuwa Ni Msafi Kabisa Basi Mungu Atakupa Uwezo Wa Kufanya Chochote Chema Kwa Watanzania Na Sifa Zako Zitakuwa Ni Kuu Kuliko Za Watawala Waliokutangulia Na Kwa Miujiza Ya Mungu Wananchi Watakupa Fursa Ya Kuwa Mtawala Kwa Miongo Miwili Na Nusu. Amini
 
Mimi mpaka sasa nikilala usiku huwa naweweseka maana siamini ETI WAZIRI MKUU WA NCHI NI MWIZI?!!!!TENA MKUBWA?!!!!

kwanini ulishabikia Wakati Jk akiomba kura,Mie ni Mwana CCM il sikumchagua Muungwana. sababu Mwalimu hakupendezwa naye kwa yeye kushirikiana na Lowassa,ila Nilisherehekea alipoanguka Mara ya Pili sababu siyo chaguo La Mungu.

Sasa naanza kuamini kuwa kuna watu tena Watanzania ambao walishiriki kikamilifu kumpeleka nyerere kaburini il wapate mwanya wa kuiba yaani ETI HATA RAIS WETU MSTAAFU ALIKUWA MWIZI MKUBWA NA NDIYO MAANA AKINA ZOMBE NA WENGINE, WAO WALIAMUA KUIBA KWA MTUTU WA BUNDUKI KABISA!!! MAANA SASA WANGEMUOGOPA NANI KAMA BABA YAO MKUBWA KABISA NI MWIZI NAMBA MOJA

Unayakumbuka Maneno aliyoyatoa Mzee Ndesamburo?Ni bora kuchagua mtu mwenye Pesa,ila Maskini ni mtu mbaya sana.ataanza kujitajirisha wkanza badala ya kuwatumikia wananchi na huyo ndio mzee mmaching ,Aliyeweza kulinda nidhamu ya chama,MR dirty clean.

Mimi Niliamini Ya Kuwa Urais Ni Heshima Kumbe Nilikuwa Najidanganya!!!

Urais Kwa nchi za Afrika,ni heshima ndio sababu watu wanakuheshimu sana na kukuogopa na baadaye wanakuletea dili chafu na unazipitisha.Unapata hata kupiga Mademu unaotaka bila ya kuhojiwa.

Yaani Raisi Mstaafu Alikuwa Mwizi.!!!yaani Alifanya Ujambazi Wa Kutisha Ikulu?mbona Nilifundishwa Zamani Ya Kuwa Ikulu Ni Mahala Patakatifu Au Nilidanganywa Ina Maana Machozi Yote Aliyoyatoa Alipokufa Nyerere Yalikuwa Ya Kinafiki?!!sasa Mungu Akae Tanzania Akisubiri Nini?

Ndio Ikului ni patakatifu.Tatizo watu wanaopata IKULU si watakatifu..ukimuona mtu anakimbilia ikulu jua...th Late Jk Nyerere
 
Mimi Ni Mzaliwa Monduli Na Kabila Langu Ni Mmasai Kwa Kweli Aibu Aliyotutia Ndugu Yetu Lowasa Haijapata Kutokea Tangu Kuumbwa Kwa Kabila Hili La Kimasai. Hivi Mimi Mwenyewe Ninovyojisikia Moyoni Mwangu Anayejua Ni Mungu Wakati Mwingine Najisikia Kama Vile Mimi Ndiye Niliyefanya Kitendo Hicho Cha Aibu Ya Milenia Kwa Kabila Hili Lenye Sifa Ya Uaminifu Tangu Mababu, Wakati Mwingine Najiuliza Hizo Pesa Alikuwa Anataka Kupeleka Wapi Tena? Maana Kama Ni Utajiri Alikuwa Nao Wa Kutosha.ole Wako Siku Ukitia Mguu Monduli Tutakuvizia Hata Kwa Zana Za Jadi Hatuwezi Kukubali Kukaa Na Hii Fedheha Tulitarajia Utuletee Sifa Kama Ndugu Yetu Sokoine Badala Yake Umetuvua Nguo Au Unajifanya Hujui Kuwa Ktk Makabila Yote Ya Tanzania Hili Letu Ndilo Linalojulikana Duniani Kuliko Mengine, Kwa Kweli Ni Lazima Utueleze Huo Wizi Ni Nani Alikufundisha Na Kama Ni Asili Ya Kizazi Chenu Basi Tukiteketeze Maana Hatuhitaji Vilema Umasaini
 
kama lowasa anasema yeye hausiki wanaohusika ni watu wa chini yake basi atutajie ni akina nani hao tuwawajibishe ili yeye tumuache vinginevyo hatuweiz kumuacha,yeye kasema ni mtu wa kuchukua maamuzi magumu basi kwa hili la richmond achukue maamuzi magumu kututajia ni akina nani hao walihusika,hatuweiz kuliacha suala hili juu juu tu lazima mtu awajibike...lowasa aache kulalamika na badala yake atutajie ni akina nani hao walihusika kuhiujumu nchi tuwawajibishe...kusema tu waliochini ndo walikosea haitoshi
 
Muoneni Karamagi, Japokuwa Yeye Anahisi Yuko Salama,amini Nawaambia, Kwa Kuwa Alitenda Dhambi Kwa Uma Wa Watanzania, Basi Adhabu Yake Ni Kubwa Kuliko Jambazi Aliyeua Mtu Mmoja Na Ni Lazima Ataishuhudia Kabla Ya Kuiaga Dunia Hii

Nadhani watu wengine hawakumbuki tulianzia wapi....

Tunakumbuka sana Mwanakijiji. Tabu ya Nchi hii HISTORIA haijirudii; inaandikwa upya kila mara. Lowasa wa1995 sio wa 2005, na sio yule wa 2008 Februari na mbaya zaidi sio huyu aliyeongea na Tido juzi!
 
Mimi Ni Mzaliwa Monduli Na Kabila Langu Ni Mmasai Kwa Kweli Aibu Aliyotutia Ndugu Yetu Lowasa Haijapata Kutokea Tangu Kuumbwa Kwa Kabila Hili La Kimasai. Hivi Mimi Mwenyewe Ninovyojisikia Moyoni Mwangu Anayejua Ni Mungu Wakati Mwingine Najisikia Kama Vile Mimi Ndiye Niliyefanya Kitendo Hicho Cha Aibu Ya Milenia Kwa Kabila Hili Lenye Sifa Ya Uaminifu Tangu Mababu, Wakati Mwingine Najiuliza Hizo Pesa Alikuwa Anataka Kupeleka Wapi Tena? Maana Kama Ni Utajiri Alikuwa Nao Wa Kutosha.ole Wako Siku Ukitia Mguu Monduli Tutakuvizia Hata Kwa Zana Za Jadi Hatuwezi Kukubali Kukaa Na Hii Fedheha Tulitarajia Utuletee Sifa Kama Ndugu Yetu Sokoine Badala Yake Umetuvua Nguo Au Unajifanya Hujui Kuwa Ktk Makabila Yote Ya Tanzania Hili Letu Ndilo Linalojulikana Duniani Kuliko Mengine, Kwa Kweli Ni Lazima Utueleze Huo Wizi Ni Nani Alikufundisha Na Kama Ni Asili Ya Kizazi Chenu Basi Tukiteketeze Maana Hatuhitaji Vilema Umasaini

Mbona ni ninyi wenyewe Wamasai mnaoimba tenzi za kumsifu?
 
Back
Top Bottom