Anne Maria
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 399
- 98
Hebu wapendwa tusaidie kuwachangia walau hata kipost 1 hawa wanaotafuta wenza humu,, kwakweli wengine inakua kama post zao zinazaraurika kbisaaa khaaa tusaidiane basi wapendwa!!! cheers
Mkuu katumia lugha ya kiutu uzima hapo...Aiseeee!
Sasa si ungeenda moja kwa moja kwenye thread zao kuchangia? au na wewe ni mmoja wa waathirika nn!
Hebu wapendwa tusaidie kuwachangia walau hata kipost 1 hawa wanaotafuta wenza humu,, kwakweli wengine inakua kama post zao zinazaraurika kbisaaa khaaa tusaidiane basi wapendwa!!! cheers
Wewe unaye?? kama huna karibu....
Aiseeee!
Sasa si ungeenda moja kwa moja kwenye thread zao kuchangia? au na wewe ni mmoja wa waathirika nn!
lol Maria ujue wengine post zao zinautani mwingi ndani yake na wengine wako serious hapo ndo shida ilipo lol . Ila ni kweli usemalo bi dada.
Mkuu katumia lugha ya kiutu uzima hapo...
mtu mkubwa hafundishwi kusema. Nimeshakuelewa
nakupa mwaliko karibu kwangu.
Uko sahihi sana na kwa upande mwingine hailetagi picha nzuri, wanaoletaga shida zao kuna baadhi ya wachangiaji wanaweka maneno ya kashfa,kejeli na utani,hivyo kupelekea wengine ambao wanashida kabisa kutokufikia malengo waliyoyatarajia
Uko sahihi sana na kwa upande mwingine hailetagi picha nzuri, wanaoletaga shida zao kuna baadhi ya wachangiaji wanaweka maneno ya kashfa,kejeli na utani,hivyo kupelekea wengine ambao wanashida kabisa kutokufikia malengo waliyoyatarajia
haahhaha Zux de........ ntakaribia basi hahahhah ila hamna fumbo hapo jamani khaa
Yani Ndg Comi uko sahihi kbs.
Unajua kuna watu wapo humu jamvini kwa nia moja tu,KUKOSOA MAWAZO YA MTOA POST
Kuna huyu TIQO,
Kwa kweli muwe Aware nae sana.
Kama mtu huna shida ya kuchangia,
inakuwashia nini Post ya Mtu?
KWENYE SAKO LA NYANI,NGEDERE HAWAKOSEKANI
Mbona hujachangia yao umekuja kuanzisha thread huku? Kwa hiyo hata kama mtu kaandika kama bata kaparua tuchangie tu?