Kiguhu
Member
- May 9, 2011
- 27
- 2
Suala la timua timua hapa nchini. Imakuwa kama tz ni nchi imbayo ni tajiri wa wataalamu wakati hata wakologa udongo wa kujengea tuanawapata toka china, Tutafika kweli kwa mtindo huu tukisahau ni gharama gani tumetumia kwa wale tunao watimua na athari za kuwatimua. Je tumelidhika na haya???