MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
1. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Mashabiki wa Simba SC wakate Tamaa na wasiende Uwanjani Klabu ikose Mapato makubwa.
2. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Mashabiki wa Simba SC wapandwe na Hasira wafanye Fujo Simba Day na Klabu iadhibiwe na Serikali pamoja na Mapolisi ambao kwa bahati mbaya Kwetu ila bahati nzuri Kwao ni kwamba hata IGP ni Yanga SC lia lia.
3. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Kusahaulisha Watu ( Kubalansi ) na Matokeo mabaya na ya kutia Aibu ambayo Yanga SC itayapata huko ilikoenda Mjini Port Harcourt nchini Nigeria kucheza na Rivers United FC.
4. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Mashabiki wa Simba SC watakaokuwa na Hasira kwa Usumbufu na Kupatikana Tiketi kwa Mtandao kusumbua Waharibu Muundombinu ya Uwanja wa Mkapa kisha Simba SC izuiwe Kuutumia huo Uwanja ili kuifanya isije kupata Pesa nyingi.
5. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Mashabiki wa Simba SC wasifurike mpaka Kuvunja Rekodi zote Uwanja wa Mkapa na Rekodi ya karibuni iendelee Kushikwa na Yanga SC kwa muda huu.
6. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Kuikomoa Simba SC na Kufifisha Umaarufu wake mkubwa ndani na nje ya Tanzania kwa miaka ya hivi karibuni.
7. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Kulifurahisha Genge ( Kikundi ) cha wana Yanga SC ( tena Waandamizi ) walio katika Serikali ya Rais Samia na ambao wote hawa wanatumika na Mstaafu Mmoja Kikatiba.
Ushauri wa bure kwa Simba SC yetu
Baada ya Mightier kuwafumbueni hivi ninachowaomba tu toeni upesi Elimu kwa Mashabiki wa Simba SC kuwa wasifanye Fujo ya aina yoyote ile kwani tumewekwa Mtegoni Kimakusudi ili tufanye Tukio la Hasira kisha wapate Kisingizio cha Kutumaliza kama siyo Kutukandamiza.
OMBI
Tafadhali naomba upesi sana kama Wewe ni mwana Simba SC na una access ya namba za Simu za akina Mohammed Dewji, Barbara Gonzalez, Mangungu, Kaimu Msemaji Ezekiel Kamwaga na Crescetius Magori ili walijue haraka na waanze Kulifanyia Kazi na ikiwezekana hata Kujihami nalo.
2. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Mashabiki wa Simba SC wapandwe na Hasira wafanye Fujo Simba Day na Klabu iadhibiwe na Serikali pamoja na Mapolisi ambao kwa bahati mbaya Kwetu ila bahati nzuri Kwao ni kwamba hata IGP ni Yanga SC lia lia.
3. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Kusahaulisha Watu ( Kubalansi ) na Matokeo mabaya na ya kutia Aibu ambayo Yanga SC itayapata huko ilikoenda Mjini Port Harcourt nchini Nigeria kucheza na Rivers United FC.
4. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Mashabiki wa Simba SC watakaokuwa na Hasira kwa Usumbufu na Kupatikana Tiketi kwa Mtandao kusumbua Waharibu Muundombinu ya Uwanja wa Mkapa kisha Simba SC izuiwe Kuutumia huo Uwanja ili kuifanya isije kupata Pesa nyingi.
5. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Mashabiki wa Simba SC wasifurike mpaka Kuvunja Rekodi zote Uwanja wa Mkapa na Rekodi ya karibuni iendelee Kushikwa na Yanga SC kwa muda huu.
6. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Kuikomoa Simba SC na Kufifisha Umaarufu wake mkubwa ndani na nje ya Tanzania kwa miaka ya hivi karibuni.
7. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Kulifurahisha Genge ( Kikundi ) cha wana Yanga SC ( tena Waandamizi ) walio katika Serikali ya Rais Samia na ambao wote hawa wanatumika na Mstaafu Mmoja Kikatiba.
Ushauri wa bure kwa Simba SC yetu
Baada ya Mightier kuwafumbueni hivi ninachowaomba tu toeni upesi Elimu kwa Mashabiki wa Simba SC kuwa wasifanye Fujo ya aina yoyote ile kwani tumewekwa Mtegoni Kimakusudi ili tufanye Tukio la Hasira kisha wapate Kisingizio cha Kutumaliza kama siyo Kutukandamiza.
OMBI
Tafadhali naomba upesi sana kama Wewe ni mwana Simba SC na una access ya namba za Simu za akina Mohammed Dewji, Barbara Gonzalez, Mangungu, Kaimu Msemaji Ezekiel Kamwaga na Crescetius Magori ili walijue haraka na waanze Kulifanyia Kazi na ikiwezekana hata Kujihami nalo.