Nimeongea na Daktari mmoja (tunafahamiana kwa muda mrefu sasa) anafanya kazi hospitali ya temeke.
kwa masikitiko makubwa amenieleza tukio lilitokea pale hospitali miezi michahe ilitopita, alikua anawahudumia watoto wadogo watatu ambao walikua na shida ya kupumuza, akawafungia mashine inayowasaidia kupumua, machine ile inahitaji umeme, baada ya masaa machache ya kutumia zile machine umeme ulikatika na wale watoto wawili wakapoteza maisha
huyu daktari anasema hali za wale watoto hazikua mbaya, kama wangepata huduma kama alivokua amepanga watoto wale wangepona, lakini kutokana na tatizo la umeme watoto wale hatukonao leo.
Hii ni habari ya kusikitisha na imetokea D'Slaam, kilomita zisizodi 10 kutoka IKULU!
kwa masikitiko makubwa amenieleza tukio lilitokea pale hospitali miezi michahe ilitopita, alikua anawahudumia watoto wadogo watatu ambao walikua na shida ya kupumuza, akawafungia mashine inayowasaidia kupumua, machine ile inahitaji umeme, baada ya masaa machache ya kutumia zile machine umeme ulikatika na wale watoto wawili wakapoteza maisha
huyu daktari anasema hali za wale watoto hazikua mbaya, kama wangepata huduma kama alivokua amepanga watoto wale wangepona, lakini kutokana na tatizo la umeme watoto wale hatukonao leo.
Hii ni habari ya kusikitisha na imetokea D'Slaam, kilomita zisizodi 10 kutoka IKULU!