- Thread starter
- #41
Huwa hawakosi hawa. Wana bima za ARR, VX zao huwa zina majenereta, pia huwa wanatembea na ambulance ambazo ziko full equiped. Cha moto tutakiona sisi na jamaa zetu.
ambulance si huwa anatembea nay mmoja tu kwani wengine nao huwa wanatembea nazo?