Nitawapa mambo mawili muhimu
Afya: Pamopja na tatizo kubwa ya mfuko wa bima wa taifa sasa kuna watanzania zaidi ya 1.5M wenye virusi vya ukimwi ambao walikuwa wanategemea USAID. Raisi Trump wa USA kafuta hili shirika na kuzuia pesa. Sasa mpaka leo kama Raisi hajaongea lolote na hakuna mpango wowote kwasababu Mama anafikiria chaguzi tu.
Jeshi: Hivi kuna akili gani na sababu gani ya kushidwa vita na Kagame! nchi ambayo ingeweza kuwekewa vikwazo. Raisi kama Amiri jeshi mkuu hakuna hata nusu bendera tuliona vijana wetu walivyokufa huko. Treni yetu inategemea Congo ili kurudisha matrilioni ya mikopo kwa vizazi vijavyo. Sasa jeshi letu kazi yake hasa ni nini kama hata zile sehemu nyeti za uchumi halisaidii.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Jeshi limekuwa waoga na kumwachia madini yote Kagame. Huku ni kukosa umakini kama nchi. Tanzania ingetakiwa kuweka nguvu ambayo ingetoa taarifa kwa wakina kagame kwamba Tanzania italinda vitu ambavyo vina faida kwa taifa. Kagame anafanya hivyo sisi Mama yetu anamfikiria Lissu, usalama wa taifa na Polisi kila siku.
Tanzania ni nchi ya kuombewa na wote tuombe huko mbele tupale Raisi Mzalendo ambaye anapenda nchi kuliko cheo na maslahi binafsi.
Afya: Pamopja na tatizo kubwa ya mfuko wa bima wa taifa sasa kuna watanzania zaidi ya 1.5M wenye virusi vya ukimwi ambao walikuwa wanategemea USAID. Raisi Trump wa USA kafuta hili shirika na kuzuia pesa. Sasa mpaka leo kama Raisi hajaongea lolote na hakuna mpango wowote kwasababu Mama anafikiria chaguzi tu.
Jeshi: Hivi kuna akili gani na sababu gani ya kushidwa vita na Kagame! nchi ambayo ingeweza kuwekewa vikwazo. Raisi kama Amiri jeshi mkuu hakuna hata nusu bendera tuliona vijana wetu walivyokufa huko. Treni yetu inategemea Congo ili kurudisha matrilioni ya mikopo kwa vizazi vijavyo. Sasa jeshi letu kazi yake hasa ni nini kama hata zile sehemu nyeti za uchumi halisaidii.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Jeshi limekuwa waoga na kumwachia madini yote Kagame. Huku ni kukosa umakini kama nchi. Tanzania ingetakiwa kuweka nguvu ambayo ingetoa taarifa kwa wakina kagame kwamba Tanzania italinda vitu ambavyo vina faida kwa taifa. Kagame anafanya hivyo sisi Mama yetu anamfikiria Lissu, usalama wa taifa na Polisi kila siku.
Tanzania ni nchi ya kuombewa na wote tuombe huko mbele tupale Raisi Mzalendo ambaye anapenda nchi kuliko cheo na maslahi binafsi.