Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,523
- 33,164
View attachment 91208
Chadema inawakosesha watu usingizi!
Akilala Chadema!
Akiamka Chadema!
Usiku kucha kuota Chadema!
Mchana kutwa kuwaza Chadema!
Pole sana Chris Lukosi... mwili CCM, moyo Chadema!
Wewe jamaa bonge la mnafiki kila siku unasema hauna chama saizi unamshambulia Lukosi wewe unadhani maisha yako yatakuwa mazuri kwa kumtegemea Dr Slaa na Mbowe.
Unadhani kuongoza nchi ni sawa na kuongoza ukumbi wa disco au danguro.
Last edited by a moderator: