MBWA WA MANZESE
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,621
- 614
nafikiri google ilipokuja ndio ulikuwa mwisho wa kuuliza, sasa kuna wajinga wamejifungia ndani ya box hawataki kutoka
Na huwa wananikera sana haswa wakinikuta niko katika mwezi mchanga nashidwaga kuwavumiliaSasa kosa lako la kusahau password au login information unadhani litatatuliwa na mtu wa IT zaidi ya hiyo re-installation? Hizi ideas zipo sana maofisini, unakuta mtu ana.create account yenye options kibao iwapo atakuja kusahau password, halafu unakuta amesahau kila kitu kuanzia password yenyewe, alternate e-mail hadi secret questions, halafu anategemea msaada wa Systems Admin ambaye hana privilege yoyote kwenye hiyo system, basi ili mradi tu unaitwa mtu wa IT kila system wanadhani utaweza kuingia!
nafikiri google ilipokuja ndio ulikuwa mwisho wa kuuliza, sasa kuna wajinga wamejifungia ndani ya box hawataki kutoka
Unafikiri kuna mtu anaitwa google anajibu maswali? Ni search engine tu ambayo inatafuata majibu kwenye website mbali mbali ikiwemo JF