Inasikitisha hatuna ma- it wa ukweli.

Inasikitisha hatuna ma- it wa ukweli.

im not Sure Kama ita Work kama nnavyofkiria But at least try it!

Jaribu kusign in hyo gmail yako kwenye pc.. Au device yoyote ... Incase umesahau passworld bas jaribu ku recover hyo email by click yale maandish yaloandikwa fogot password? hapo fuata steps kama kujibu security question na ksha change password.... Ukifanikiwa kuchange hyo password bas hapo ndo usign in kwenye simu kwa password mpyaaaa.... Im not sure kama ita work coz huwa stumii sana androids ila try it maybe ita work....


BLAME MAZE LOCK
 
Kwa maelezo yake huyo hiyo sii simu yake atakuwa ameipiga sehemu sasa anatafuta pa kutokea huwezi ukasahau password,hata yale maswali ya security hata kurestore password umeshindwa hapo ndo naamini kabisa hiyo si simu yako.
 
Jinga sana hili jitu , linadharau wana IT halafu at the end linataka lisaidiwe ten,
astaghafrulah laana tulah!
 
cha msingi jarbu kurecover ur gmail password..ita kusaidia gmail cyo wa gumu ila fuata hatua zote.
 
Kwa maelezo yake huyo hiyo sii simu yake atakuwa ameipiga sehemu sasa anatafuta pa kutokea huwezi ukasahau password,hata yale maswali ya security hata kurestore password umeshindwa hapo ndo naamini kabisa hiyo si simu yako.

ukweli Mtupu...
 
hata mm napata shaka mtu unasahau hata ur email password
 
Mkuu mosara... Nakushauri ufungue acc nyingne.. Umewjaza wakuu SUMU tayare
 
Last edited by a moderator:
ni sawa na mgeni anaingia kwako anaanza kukuprovoke, tangu nimefika hata chai hamjanipa, kwanza hamjui kupika, hata km ulikuwa na nia ya kumpa chai unaachana nae. uwa sipendi watu wa namna hii, hata msaada sitoi
Hahaaa simple, unamwonyesha Guest house kisha unampitisha restaurant halafu mnaagana!
 
Hahaaa simple, unamwonyesha Guest house kisha unampitisha restaurant halafu mnaagana!
Huyo mosara unampitisha Restaurant wa nini labda akione chakula na hakuna kumlipia na mtangulishze Chooni akiingia tu kujisaidia muache solemba
Hawezi kudharau Jukwaa hili, mtu gani asiye na shukrani hataki hata kwenda google na saa hiozi kafungua thread ingine tena wakati huku keshapewa majibu yeye anakimbia
 
Last edited by a moderator:
vitu vitatu ambavyo unabidi uwe navyo ili ufanikiwe katika maisha yako( DEFINITION OF UR GOAL, DISCIPLINE AND DRIVE).....Jinga sana wewe, unadharau watu halafu unataka msaada? kwendaaaaaaaaa
 
Kwani IT ni simu? Nenda zako wewe unanunua simu za mchina unataka kuletea taabu watu
 
Huyo mosara unampitisha Restaurant wa nini labda akione chakula na hakuna kumlipia na mtangulishze Chooni akiingia tu kujisaidia muache solemba
Hawezi kudharau Jukwaa hili, mtu gani asiye na shukrani hataki hata kwenda google na saa hiozi kafungua thread ingine tena wakati huku keshapewa majibu yeye anakimbia
Jamaa mgumu kukubali makosa, nimemfuata kwenye uzi wake mwingine wa mapambio na kumshauri aje kutuomba msamaa but yaonekana ni jeuri wa asili
 
Back
Top Bottom