[h=2]SOMA HAPO CHINI.
Nimepata only two reply, lakian was not helpful, walionijibu nawashukuru sana lakini si dhani kama wao ni ma-IT wa ukweli, hawako detailed. wana JF msaada bado kwa hiyo thread hapa chini.
Masada WA ku- unlock my phone: Samsung galaxy s.[/h]
Nimepata only two reply, lakian was not helpful, walionijibu nawashukuru sana lakini si dhani kama wao ni ma-IT wa ukweli, hawako detailed. wana JF msaada bado kwa hiyo thread hapa chini.
Masada WA ku- unlock my phone: Samsung galaxy s.[/h]
Ni simu yangu niliinunua 2 years back. password ya kufungua simu naifahamu, ila kuna mtu aliichezea kwa kujaribu kuifungua, kisha ikajifunga. TOO MANY PATTERN ATTEMPTS! Now inahitaji ni sign in with my Google account ili ifunguke.
Tatizo nimesahau na pale nilipotunza hiyo my Google account and password nimetafuta sana in three days sijaona hizo kumbukumbu. PIA NI COUNTY SIDE. Hiyo WANA JF, naomba msaada wenu. SIMU ZINAINGIA KAMA KAWAIDA, TATIZO SIWEZI KUPIGA NA KUFANYA MAMBO YOTE MENGINE YA MUHIMU. Ni very serial issue!! Ahsanteni.
Tatizo nimesahau na pale nilipotunza hiyo my Google account and password nimetafuta sana in three days sijaona hizo kumbukumbu. PIA NI COUNTY SIDE. Hiyo WANA JF, naomba msaada wenu. SIMU ZINAINGIA KAMA KAWAIDA, TATIZO SIWEZI KUPIGA NA KUFANYA MAMBO YOTE MENGINE YA MUHIMU. Ni very serial issue!! Ahsanteni.