BioPsychologist
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 724
- 1,014
Wakuu bila shaka hamjambo! sihitaji kupoteza muda wenu ngoja niende kwenye mada.
Katika kitaa nachokaa kuna mshikaji mmoja ni mtu wa kuchukua sana wadada haijarishi ni aina gani yaani jamaa ni okota okota, sasa majuzi fulani hivi akanambia kuna mdada anawasiliana nae yuko Mbeya anataka kuja, huyo dada walionana mtandaoni FB.
Siku tatu baadae jamaa akapata ajari na kuumia mguu wakati naenda kumcheki akanambia man yule duu anakuja leo yuko safarini naomba uende jioni kumpokea Ubungo. Dah! Nikashangaa kwanza nikamuuliza mlishaonana hata siku moja akajibu No! Basi nikasema sio mbaya nitaenda kumchukua.
Hadi inafika saa 2 usiku akasema wamepoteza mawasiliano so mimi nikaenda zangu getto. Asubuhi ananipigia simu kuwa mgeni kafika sema kweli nimeshangaa sana demu kaja ila ni mkubwa kiumri kuliko mshikaji. Mshikaji kapagawa hatari anavumilia lakini ina muuma vibaya mno.
Demu katulia na furaha za kumwaga, sasa kutokana na kuuguza majeraha jamaa kapata point ya kuto fanya nae sex.
Nimesikitika sana hadi sasa najiuliza huenda watu wa namna hii ni wengi, yaani unatoka Mbeya hadi Dar kwa mtu usiomfahamu na yeye hakufahamu.
Nasikiaga watu wanapotea ghafla na kusahaulika kumbe sometimes huwa ni uzembe, mfano jamaa asingekuwa mtu salama huyu Dada angeishia wapi na hapa Dar hana ndg wala jamaa?
Mnisaidie kutafakari wakuu!
Katika kitaa nachokaa kuna mshikaji mmoja ni mtu wa kuchukua sana wadada haijarishi ni aina gani yaani jamaa ni okota okota, sasa majuzi fulani hivi akanambia kuna mdada anawasiliana nae yuko Mbeya anataka kuja, huyo dada walionana mtandaoni FB.
Siku tatu baadae jamaa akapata ajari na kuumia mguu wakati naenda kumcheki akanambia man yule duu anakuja leo yuko safarini naomba uende jioni kumpokea Ubungo. Dah! Nikashangaa kwanza nikamuuliza mlishaonana hata siku moja akajibu No! Basi nikasema sio mbaya nitaenda kumchukua.
Hadi inafika saa 2 usiku akasema wamepoteza mawasiliano so mimi nikaenda zangu getto. Asubuhi ananipigia simu kuwa mgeni kafika sema kweli nimeshangaa sana demu kaja ila ni mkubwa kiumri kuliko mshikaji. Mshikaji kapagawa hatari anavumilia lakini ina muuma vibaya mno.
Demu katulia na furaha za kumwaga, sasa kutokana na kuuguza majeraha jamaa kapata point ya kuto fanya nae sex.
Nimesikitika sana hadi sasa najiuliza huenda watu wa namna hii ni wengi, yaani unatoka Mbeya hadi Dar kwa mtu usiomfahamu na yeye hakufahamu.
Nasikiaga watu wanapotea ghafla na kusahaulika kumbe sometimes huwa ni uzembe, mfano jamaa asingekuwa mtu salama huyu Dada angeishia wapi na hapa Dar hana ndg wala jamaa?
Mnisaidie kutafakari wakuu!