Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Wenye ICDs inasemekana wameshaanzisha ushirika na wakubwa huko TPA ili makontena yawe yanaelekezwa kwao kama zamani kabla ya Utawala wa JPM kuzuia makasha mengi kuelekezwa ICDs hadi pale tu Bandarini kutakuwa kumejaa.
Sasa inasemekana hali imerejea kama zamani na tayari wenye ICDs wameanza kutamba tena!
Ifahamike wizi wa makontena ni rahisi sana kama mzigo umefikia ICDs.
Sasa inasemekana hali imerejea kama zamani na tayari wenye ICDs wameanza kutamba tena!
Ifahamike wizi wa makontena ni rahisi sana kama mzigo umefikia ICDs.